Msaada: Dawa ya mtu kuacha pombe

Msaada: Dawa ya mtu kuacha pombe

Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo siyo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Kwanza niwape pole sana kama familia kwa changamoto hiyo.

Mara nyingi watu hua tunachukulia unywaji pombe kama kitu ambacho ni harmless hasa pale kijana anapoanza. Saa nyingine utakuta hata ndugu/wazazi wanawanunulia pombe vijana wao bila kujua madhara ya baadae. By the time mnakuja kugutuka its too late mtu ameshaharibikiwa.

Kuhusu dawa ya kuacha pombe, binafsi siamini kama ipo. Ni mtu mwenyewe aamue kutoka moyoni kwamba kuanzia sasa pombe baas! Otherwise mtahangaika sana bila mafanikio. So far nimeshapoteza ndugu wawili na rafiki mmoja kwa ulevi na hakuna chochote tulichofanya kilisaidia.
 
Habar Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo siyo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Nenda pale kivukoni kwenye bajaji kuna ustaadhi anauza au baruti upande wa kulia kama unatoka kimara mida ya jioni kuna jamaa anauza au jmosi nikumbushe nikasake kichupa maana kilimsaidia mdogo wangu mi bado sijaamua kuacha
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Mimi Nina Kaka angu ambae juzi tu mwezi huu wa Saba ndo ametimiza miaka 40 Sasa anakunywa pombe, mchana asubuhi Na jion hata hajali Sasa inafika hatua Hadi kazini wanataka kumfukuza tunatafuta watu wa busara wanamwombea msamaha anakiri kuacha pombe lkn baada ya wiki moja analud Tena

Tatzo siyo kunywa pombe akinywa pombe matendo anayofanya hata kitaa huwezi kutamani yule akawa ndugu yako lkn Sasa Ni brother angu Haina namna nimekaa nae Zaid ya Mara tano lkn bado naona sijasolve tatzo kabisa akinywa anajikojolea matusi hovyo

Imefikia hatua hata kwenye kikao Cha family yeye anadhaulika hata Na watoto wadogo wa miaka 20 Na 18 kwa sababu wakati huo yeye Ni mtumishi wa uuma

Sasa hapa hatuelewi maana yeye ameishi Na wake wanne Hadi Sasa watatu waliondoka huyu wa nne ndo amemoa juzi tu hata mimba bado ni ndogo hao wote watatu wameondoka Na watoto Sasa tunahisi mwisho Wake hautakuwa mzuri kwa sababu ya watoto atastaafu watoto wengne hata form four hawajafika hivyo litakuwa tatzo ndo maana naomba dawa mwenye kujua pengne tutaokoa vitu vingi

Inaonekana mwanamke wake wa Kwanza alimuwekea limbwata Sasa je inaweza ikawa ndo sababu anakuwa hivyo au Kuna sababu zingne

Naomba kuwasilisha
Dawa ya kuacha pombe ni kifo tu nnavyojua mimi
 
Nianze kwa kukutia moyo tu kwamba, pengine mimi nilikuwa mlevi kuliko kaka yako, lakini ukiniona leo hutoamini, naichukia pombe kwa milango yangu yote ya fahamu.

Tatizo la unywaji wa pombe uliopitiliza linaweza kuwa la kiroho au la Kisaikolojia. Hivyo, tiba itategemeana na chanzo cha unywaji huo. Kwasababu hakuna sehemu ya kupigia ramli kujua chanzo cha tatizo, inabidi ujaribu njia zote.

Kwa imani yangu mimi nilianzia Kanisani na nikafunguliwa, kwa kifupi ni kwamba nilikuwa nimeshikiliwa na nguvu kali sana za giza. Tena uende Makanisa ya Kiroho (ya Kilokole) kwa Mtumishi mwenye nguvu za Mungu kweli (omba ushauri na uisikilize dhamiri yako pia), ukienda kwa makanjanja utapoteza tu muda wako.

Kama ni la Kisaikolojia, tiba yake ipo pia, akafanyiwe counselling ambayo ni church-annexed (hii ni ile counselling ya makanisani kutoka kwa Watumishi wa Mungu wabobezi wa huduma hiyo), kwa mfano mimi kabla sijaombewa na huyo Mtumishi, alini-counsel kwanza, tena kikawaida tu; bila hata kutaja kifungu cha Biblia.

Kazi kwako mkuu. Ila usikate tamaa. Kumbuka, hakuna jambo linaloshindikana kwa Mungu (Luka 1:37).
Niunganishe na huyo daktari (
mchungaji)wako tafadhali
 
Back
Top Bottom