Hii ishu ya ukimwi isikie tu kwa mwenzio, wakati fulani nilikuwa mkoani kikazi nikaanzisha uhusiano na bint mmoja ambaye alikuwa mwenyeji katika mkoa huo, nilidumu nae kwa takribani miaka miwili nikaja kutonywa na mama mmoja mama ntilie kwamba huyo demu ameathirika, alinistua moyo kiukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.