Recent content by king R

  1. K

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    upo ukijichanganya imo,,
  2. K

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hii ishu ya ukimwi isikie tu kwa mwenzio, wakati fulani nilikuwa mkoani kikazi nikaanzisha uhusiano na bint mmoja ambaye alikuwa mwenyeji katika mkoa huo, nilidumu nae kwa takribani miaka miwili nikaja kutonywa na mama mmoja mama ntilie kwamba huyo demu ameathirika, alinistua moyo kiukweli...
  3. K

    Jakaya Kikwete na msafara mkubwa

    Kikwete ana gari tatu na pikipiki moja ya trafiki, Nissan patrol v8, Land cruiser mbili V8, Tusibishane naongea kama jirani.
  4. K

    Wataalamu niliowahi kuwasikia Tanzania

    Prof muongo hana mpinzani katika kada take
  5. K

    Mafuta ya asili ya nazi au mzeituni

    Nichek Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    TBC: Kongamano la watanzania waishio Marekani. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi mgeni rasmi

    Magamba anajikanyakanyaga kwenye issue ya lisu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    hii story imekopiwa jamaa atafute story Zake.
  8. K

    AJALI: Basi la UDA laigonga treni eneo la Gerezani - Kariakoo, Dar

    wakuu hiyo ajali noma we sikia tu, nilikuwepo eneo la tukio . Rip the lost souls.
  9. K

    AJALI: Basi la UDA laigonga treni eneo la Gerezani - Kariakoo, Dar

    Wakuu hiyo ajali ni noma, nilikuwepo eneo la tukio. Rip the lost souls.
  10. K

    msaada please.

    Naomba msaada jinsi ya kuondoa application ya gmail kwenye samsung s 1.
  11. K

    Imekaaje hii?

    Imekaaje kwa mtoto wa kiume kusoma kozi ya sekretari, maana juzi nilipita magogoni nikakuta nwanaume anasoma kozi ya sekretari.
  12. K

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    Sometimes being a professor is jst a word not anymore
Back
Top Bottom