Recent content by King Nkondo

  1. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Dodoma yavunja rekodi ya TONETONE. Zaidi ya Mil 7 zakusanywa

    Wajinga ndo waliwao!! Tumbo la chadema ni kubwa mno hizo hela wala hazitajulikana zimeenda wapi
  2. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Atakuwa hajaacha kulewa mbege zake make hizo ni dalili za kuchanganyikiwa sasa
  3. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Mimi ndo ccm yenyewe so obvious ntakuwa nimekupanua wewe
  4. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Kasemaje huyo mwizi wa magari?
  5. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania What is real mission of Joseph Selasini to Chadema after he successful managed to lead the removal of J. Mbatia as National chairman of NCCR-Mageuzi?

    Heche kaomba sapoti ya uzoefu ili aje atoe mbinu za kumchomoa lissu, tuendeleeni kunywa mtori nyama tutazikuta chini!
  6. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Msigwa anapenda sana vyeo, kilichomtoa chadema ni kukosa cheo, kule alipoenda nako kakosa cheo ndomana kakimbiako, sehemu rahisi anapopamudu kufosi cheo ni chadema na safari hii atakipata we subiri utaona!!
  7. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Kundi la heche huyo wanakitaka kiti cha lissu ndomana wanapinga maridhiano ili lissu aendelee kuozea jela
  8. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Bado logic ni ile ile inachukuliwa hapo bull kupitia chombo cha anga so wako huru hawadhibitiwi!!
  9. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Micgezo pendwa ya chadema hiyo
  10. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Heche anakitaka kiti kwa hali na mali ndomana hataki maridhiano ili lissu aozee jela!!
  11. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Ee si umesema nao wamejenga kwenye hifadhi kama walivyojenga chadema
  12. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Juu huko comments za kukutoa kwenye reli zimeanza fanya tafiti zako ila cha kukuongezea tu azingatie kula na kunywa Ale kwanza ndo ameze vidonge Mengine sasa wanasema za kwako changanya na mbayuwayu!!
  13. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama vya siasa na Polisi, Mungu awape Moyo wa Uvumilivu. Hii CHADEMA ya Kahama itawatoa roho🤣🤣

    Watu wameenda kupata burudani ya muziki we unaleta habari za chadema iliyojifia?
Back
Top Bottom