Recent content by King Nkondo

  1. King Nkondo

    Je ni kweli wanawake wanapenda pesa au ni uongo unaoenezwa na watu wasio na pesa?

    Ni kweli kabisa ila tofauti ipo hapa, jinsia me anaipata kwa jasho lake, ila jinsia ke anataka aipate akiwa amekaa tu sebuleni anatazama luninga!!
  2. King Nkondo

    Je ni kweli wanawake wanapenda pesa au ni uongo unaoenezwa na watu wasio na pesa?

    Wanawake wanapenda vitu vizuri in general, yaani ale vizuri, avae vizuri, akae pazuri so na bila hela hayo mambo bado hajayapata.
  3. King Nkondo

    Ukiona umefanikiwa kimaisha,tafadhari kaa karibu na watu wafuatao mtaani kwako

    Hiyo namba mbili ina madhara sana, make waweza onekana unafadhili genge la wahuni!!
  4. King Nkondo

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    So mpaka sasa ICC imepokea mashtaka gani kutoka tz na nani anashitakiwa?
  5. King Nkondo

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Kwani ICC imemshitaki nani hapa Tanzania?
  6. King Nkondo

    PostGE2025 Ni Mimi tu ndiyo sijaelewa kitu hapa au nanyi pia Ndecha leo kawachanganya?

    Ripoti ya jaji chande iko vizuri haina shida!!
  7. King Nkondo

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Kesi ikipokelewa lazima apewe samasi
  8. King Nkondo

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Lissu naye haponi hapa kwa kauli zake za kitanuka kasababisha raia waingie road na silaha za jadi na kuanza kuuana na polisi!!
  9. King Nkondo

    Huwezi amini sasa hivi JF hakuna mada nyingi wala Vibe la Simba na Yanga kama zamani

    Hiyo si ni sticky thread ya tangia vita ianze threads nyingi zinazoanzishwa zinakuwa merged kule
  10. King Nkondo

    Huwezi amini sasa hivi JF hakuna mada nyingi wala Vibe la Simba na Yanga kama zamani

    Mada gani zinazopata comments nyingi? Jukwaa la siasa kabla ya vpn ilikuwa ukipost habari za ccm au chadema, ndani ya lisaa moja comments mianne zishafika Lkn asaiv ukipost habari za ccm au chadema nakwambia hivi comments mia mbili zitatumia wiki moja kukamilika. So habari za simba na yanga bado...
Back
Top Bottom