Recent content by King Nkondo

  1. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Nilkuwa nafahamiana naye rest in peace mwamba!!
  2. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Haki ya "AKWILINA AKWILINI" na maswali ambayo bado yananiumiza kichwa

    Tukio la akwelina lilikuwa ndo mwanzo wa jaribio la kusambaratisha maandamano kwa risasi za moto, badala ya maji washa na gesi za machozi. Na hii ni mojawapo ya legacy ya mwamba mwenyewe magufuli the don.
  3. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mimi nashauri CCM wenye madaraka watupe katiba alafu kuwe na kifungu cha kuwalinda..

    Katiba na sheria kwa ujumla huanza kazi siku imetangazwa so itamuwajibisha mvunjaji baada ya kutangazwa na haitamuwajibisha mvunjaji aliyevunja kabla haijatangazwa
  4. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Angalia units
  5. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Golugwa ana akili kuliko mnyika, sijui ilikuwaje yule form six akawa katibu mkuu halafu Golugwa chuma kikawa naibu!!
  6. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Hivi hii tabia vijana wame itolea wapi

    Jenzii kwenye sekta ya mitepesho wana rumodo wao jayden na yamal
  7. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa LISSU 22/1/2025 kua Mwenyekiti CDM, mpaka sasa umetuletea Mapinduzi Chanya Kisiasa, Tumuombee sana !Udalali wa Mbowe Ulituchelewesha

    Zitto kabwe na kitila mkumbo waliona mbele zaidi ya lissu, cha ajabu lissu huyo huyo akawafanyia fitina wakafukuzwa, so kiufupi lissu ndo alichelewesha.
  8. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania John Heche moments special thead

    Heche ni kiongozi mbinafsi na mlafi aliyekula hela za tone tone na kugoma kujiuzulu, aige mfano wa Nchimbi baada ya tuhuma kaamua kujiuzulu kupisha uchunguzi!!
  9. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Silent ocean
  10. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaipiku Kenya kama mzalishaji mkubwa wa umeme. Aibu kwa Muhongo, Nape, Zitto

    Ongezea chadema pia walipinga sana huu mradi
  11. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mara: Walimu sita wa kidato cha Sita mbaroni kwa mauaji ya mwanafunzi wao

    Kwamba walimu walioua huyo dogo wa 23 years nimewatetea?
  12. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Mbowe kwenye ufunguzi wa bwawa la Mwl Nyerere ni usaliti kwa Lissu?

    Heche na Lissu kutwa nzima kumbananga mwalimu wao wa siasa we unategemea afanyeje?
  13. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

    Silaha sio bunduki tu, petrol na Silaha za jadi zinaweza kufanikisha uasi ndomana mo29 petrol ilitoa impact za kutosha.
Back
Top Bottom