Recent content by King Nkondo

  1. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Unamsalimia kwa style gani? Au kama wasira alivyosalimiwa na vibaka wa chadema mo29?
  2. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kwanini Polisi Wamemkamata Nabii Tito wakati 2018 walimuachilia kwamba ana matatizo ya akili?

    2018 tito alipata matibabu milembe na akapona
  3. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu hajaonekana Kizimkazi Festival, ziara zake nazo zimeyeyuka, nini kinaendelea?

    Wachimba chumvi mmeanza ramli zenu chonganishi?
  4. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Sisi Maaskofu ndio tuliomba kukutana na Rais Samia

    Mpumbavu wewe bunge ndo linalotunga na utekelezaji zinafanya taasisi husika
  5. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM amwambia wazi rais Samia, haogopi kutekwa wala haogopi mtu

    Achana na mdude kuna mwingine yeye alikuwa anamwogopa Mungu wa mbinguni lkn leo ziiii!!
  6. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Sisi Maaskofu ndio tuliomba kukutana na Rais Samia

    Pamoja na kujisalimisha endelea kuwakazia msamaha wa kodi toa kwenye bidhaa za msingi kama elimu na afya, janja janja za kupitisha magari yao binafsi na za mashosti endelea kuwakazia mama.
  7. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Sisi Maaskofu ndio tuliomba kukutana na Rais Samia

    Dp world kawanyosha vibaya, bandari ya daresalam walitaka kuifanya shamba la bibi.
  8. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Mangungu ndo wa kuangushia jumba bovu, ila uhalisia chanzo cha matatizo ni pesa iko bank(6)
  9. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Lema: Vijana wa CHADEMA tofauti yenu na vijana wa CCM inapaswa kuwa tabia njema

    Mamilioni ya hela
  10. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Lema: Vijana wa CHADEMA tofauti yenu na vijana wa CCM inapaswa kuwa tabia njema

    Mfano hai ni Heche katafuna tonetone zote na kashfa nzito nzito za ubadhirifu lkn hata kupisha kiti achunguzwe kagoma!!
  11. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Heche kwa BAVICHA Jijini Dodoma ni moto wa kuotea mbali. Heche angekuwa na Bei CCM wangempa hata Bil 1

    Heche hata bure ccm haiwezi kumchukua, kwa kashfa nzito aliyonayo ya ubadhirifu wa fedha za tone tone, Heche ni liability. Watu wa maana chadema imewahi kumiliki ni Zitto Kabwe, Baregu na kitila mkumbo basi.
  12. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Chrysalis: Safari ya Miaka 400 Kwenda Angani

    👍👍
  13. King Nkondo

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Lema kulikoni kwenye mkutano mkuu wa Bavicha sijaona bashasha zako za siku zote?

    Mgao wa tonetone wote kala heche unatagemea afenyeje sasa?
Back
Top Bottom