Pamoja na kujisalimisha endelea kuwakazia msamaha wa kodi toa kwenye bidhaa za msingi kama elimu na afya, janja janja za kupitisha magari yao binafsi na za mashosti endelea kuwakazia mama.
Heche hata bure ccm haiwezi kumchukua, kwa kashfa nzito aliyonayo ya ubadhirifu wa fedha za tone tone, Heche ni liability. Watu wa maana chadema imewahi kumiliki ni Zitto Kabwe, Baregu na kitila mkumbo basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.