Tukio la akwelina lilikuwa ndo mwanzo wa jaribio la kusambaratisha maandamano kwa risasi za moto, badala ya maji washa na gesi za machozi. Na hii ni mojawapo ya legacy ya mwamba mwenyewe magufuli the don.
Katiba na sheria kwa ujumla huanza kazi siku imetangazwa so itamuwajibisha mvunjaji baada ya kutangazwa na haitamuwajibisha mvunjaji aliyevunja kabla haijatangazwa
Zitto kabwe na kitila mkumbo waliona mbele zaidi ya lissu, cha ajabu lissu huyo huyo akawafanyia fitina wakafukuzwa, so kiufupi lissu ndo alichelewesha.
Heche ni kiongozi mbinafsi na mlafi aliyekula hela za tone tone na kugoma kujiuzulu, aige mfano wa Nchimbi baada ya tuhuma kaamua kujiuzulu kupisha uchunguzi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.