Nimeshaachana nao halafu sasa kigezo chao cha kuachana nao ni vile wanahisi labda naweza nisiwaoe au kuwapotezea muda kwani wote hao wanne wamenipita umri sawa wa miaka mitatu, so wanaona watakuja kuchoka then ntakula Kona kwani wanaume hatuzeeki haraka, hivyo nikishagundua hilo napiga chini...
Binafsi hii imeshawahi nitokea Ila kwa upande wa mahusiano, Ma Ex wangu takribani wanne wote wamezaliwa tarehe moja na mwaka huo huo mmoja mpaka huwa nikikaa naona kama muujiza hivi lakini ndio ishatokea hivyo.
Wasalaam....
Naomba niende moja kwa moja kwenye huu uzi ndugu zangu, huku kipenga kikiwa tayari kimeshapulizwa [emoji350]
Twende kazi sasaaa.....
Ni mwaka sasa umepita tangu niachane na Ex wangu lakini mambo yangu hayapo sawa yaani hasa upande wa mahusiano, nilimpenda sana Ex wangu na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.