Recent content by King Mukhil

  1. K

    Ukiacha Messi, Mchezaji gani unamkubali anayetumia Mguu wa Kushoto?

    Mo salah... Kwa huyu tutaanza kumsahau messi muda si mrefu
  2. K

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Najiuliza,je siku ya mwisho,wayahudi watauona ufalme WA mbingu?.. Hata kama hivyo hivyo hawamuani mungu yesu WA ukristo.. Kama laa, uteule wao ni Kwa maisha tu na fahari ya kidunia basi?..
  3. K

    Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

    Kama ilikuwa ktk Mawazo yangu.. Huyu Salah ni Messi mpya.. Kama atacheza LA liga..
  4. K

    Kimenuka Iran. Wajutia Mapinduzi ya 1978 Death ya Rouhan Chant.

    Iran ni tofauti kabisa...kuweza kuifanyia fitna...
  5. K

    Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Awaumbe hao binadamu mwenyewe,..halafu akawakombowe mwenyewe....?? ..tena Kwa viumbe alivyoumba mwenyewe.?? .. Wenye akili wanaelewa,....acha tubaki na ushabiki unao burudisha mioyo yetu Kwa maisha ya muda mfupi.....
  6. K

    Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Kuna tofauti ya wanaufahamu ukristo na wale wanaosoma ukristo only jumapili hadi jumapili.... Zaidi ni mihemko na matamanio tu ya nafsi..
  7. K

    Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Issue hapa ni matamanio ya nafsi au ukweli Wa maandishi na historia...???
  8. K

    Jerusalem kwa mujibu wa BBC

    Ukiwa mvivu Wa kusoma maandiko lazima uwe mtumwa... Hata ukiambiwa Binadamu ni Mungu utakubali tu....sembuse tofauti ya uyahudi na ukristo...
  9. K

    Iran; Jerusalem itageuka kuwa kaburi la Israel

    Kama kuna balaa litakalotokea duniani basi litaletwa na USA na ISRAEL mafundi wa amani ya dunia....
  10. K

    Iran; Jerusalem itageuka kuwa kaburi la Israel

    Kwa wakristo wanaojitambua na wenye maarifa madhubuti ya dini yako hawakubali JERUSALEM kuwa MJI mkuu Wa Taifa Kiyahudi..... Ila wale wenye kufuata matamanio tu...
  11. K

    Kutana na WAAJEMI(IRAN ya Sasa), Adhabu mbaya na hatari kabisa kuwahi kutolewa Duniani

    Tuzijue pia na adhabu za kiafrika... Au kwa kuwa hazikuandikwa?
  12. K

    Mchoro wa picha ya ndala unamaanisha nini kwa klabu ya Yanga?

    Nimekuwa nikiona mchoro wa picha ya ndala pale timu ya Dar es Salaam Youngs Africa inapoandikwa katika magezeti kama alama ya uwakilishi wa timu hiyo. Kama mpenzi wa klabu ya Yanga na soka la Tanzania kwa ujumla nashindwa kuelewa picha ya ndala inawakilisha ujumbe gani kwa klabu hiyo. Lakini...
Back
Top Bottom