Mimi ni kijana , nina elimu ya kidato cha 4, nina mtaji wa laki 3.napenda kuushi dodoma, naomba msaada wa fursa na wazo la biashara kwa hapo dodoma kulingana na kamtaji kangu.
Mmmm Chadema tupunguze ubinfsi wafikra .Tatizo lililopo chadema ni lile la kulinda maslahi ya mtu.Hili pepo lutatuumiza sana.Sioni kosa la lowasa , alikuwa na haki msingi ya kutoa mawazo yake.Tuwe tunajiuliza ni demokrasia ipi huwa tunaitafuta ? Ua ya kupiga mayowe na kutoa matusi...!!!??
Habari ndugu, mimi ni kijana mjasiriamali nipo Nzega-Tabora, nauza karoti kwa rejareja na jumla, pia nasambaza kwa wauzaji wa masoko mengine kama kahama, Igunga, Tabora mjini. Nifanyeje ili niweze kuongeza soko na dhamani.
Natamani kuwafikia wafanya biashara wa Dodoma, Singida, Shinyanga na...
Habari zenu ndugu,Nipo dodoma , nina mtaji wa laki mbili (200000) nimefanya kazi ngumu hadi kuupata ikiwa ni pamoja na kubeba zege na kuchimba mitaro.
Kwa wale wajuzi wa maswala ya biashara nipeni msaada wa wazo la biashara .japo nipumzike na mimi na hizi kazi ngumu .
Na mungu awabariki
Kwanza nitamwambia aweke mbele ndoto za wananchi si kuweka mbele ndoto zake.
Pia nitamkubusha kuheshimu viongozi wezake na kuwa mchaguzi wa maneno ya kutumia mbele ya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.