Habari ndugu, mimi ni kijana mjasiriamali nipo Nzega-Tabora, nauza karoti kwa rejareja na jumla, pia nasambaza kwa wauzaji wa masoko mengine kama kahama, Igunga, Tabora mjini. Nifanyeje ili niweze kuongeza soko na dhamani.
Natamani kuwafikia wafanya biashara wa Dodoma, Singida, Shinyanga na...