Recent content by King mkucha

  1. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Vibarua ujenzi wa viwanja vya mpira Dodoma na Arusha

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni kuwauliza wana JF hivi ujenzi wa hivi viwanja unaanza lini na ni( wapi?) Na vibarua inakuwaje ndugu zangu kupata hata kibarua tupambane kwa mliopo dodoma na Arusha tujuzane wadau
  2. King mkucha

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Famoco linauzwa

    Famoco linauzwa bado ni zuri na linasajiri mitandao yote scanner yake inafanya kazi vizuri Bei ni tsh 80,000 ipo dar es salaam Kama utahitaji nitafute namba 0757807878 au 0654388979 WhatsApp pia ni namba hizo hizo zote
  3. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnifundishe jinsi ya kutengeneza mishkaki mitamu na laini

    Nahitaji kuanzisha biashara ya mishikaki maeneo ya stand naomba kujua sehem ninayoweza kuwa napata nyama na pia sehemu wanapouza vijiti na bei zake na yoyote anijuze changamoto za hii biashara.
  4. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Msaada, nahitaji chumba cha kupanga Dar es Salaam

    Chumba kipo tabata kimanga Sent using Jamii Forums mobile app
  5. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Tanga namuulizia Sekambi

    Kwa wakazi wa Tanga kuna mganga mmoja na sikia ni mtaalam hatarii anaitwa Sekambi. Kwa yeyote anayemfahamu anipe taarifa zake na kama na mawasiliano yanaweza kupatikana anisaidie basi
  6. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kijana kwa ajili ya shughuli ndogondogo za nyumbani

    Kuna mdogo wangu anataka kazi hiyo Kaka
  7. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa kazi za ndani (binti) anatafuta kazi

    Vigezo unavyovitaka Kaka maana kuna mdogo wangu yupo hana kazi
  8. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Changamkieni Fursa za AJIRA Kiwanda cha sukari Turiani-Mtibwa May 2020

    Pale hapajai ndugu yangu
  9. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Changamkieni Fursa za AJIRA Kiwanda cha sukari Turiani-Mtibwa May 2020

    Kutoka msamvu hadi turiani ni mwendo wa masaa mawili.... Na pale unachukua bodaboda hadi manungu
  10. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Changamkieni Fursa za AJIRA Kiwanda cha sukari Turiani-Mtibwa May 2020

    Siku niliyochoma nauli hadi huko mtibwa.... Huko si wafichi ni kajela kadogo ila kamefudhu ujela.... Malipo ni 6000 kwa siku pia asubuhi unakunywa uji tu na kurudi hakuna muda maalum hadi SA Tatu usiku waweza kurudi hapo piga hesabu tangu uji uliokunywa asubuhi Na kazi ngumu shamban + plus jua...
  11. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Changamkieni Fursa za AJIRA Kiwanda cha sukari Turiani-Mtibwa May 2020

    5000 ukifika unapanda bodaboda buku 3
  12. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Changamkieni Fursa za AJIRA Kiwanda cha sukari Turiani-Mtibwa May 2020

    Daa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa kazi za ndani (binti) anatafuta kazi

    [emoji2][emoji2] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Upo wapi kamanda? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. King mkucha

    JamiiForums Tanzania Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

    Shule ya msingi pugu kajiungeni.. 2.pugu secondary ii) kinyamwezi secondary 3.Airwing high school ii) Jitegemee CBG 4.UDOM 5. [emoji40][emoji40][emoji40] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom