Recent content by KING MIDAS

  1. KING MIDAS

    Nani alishawahi kukutana na "changamoto" hii alipoenda kwenye hoteli ya gharama

    https://youtu.be/OvaLb3BJo2w?si=VEK6n1ifnLZldOf0
  2. KING MIDAS

    Waziri Mkuu Nchemba, hazungumzi na watanzania, anazungumza na CHADEMA

    Dr. Mwigulu Nchemba Ana shida gholofani
  3. KING MIDAS

    Nicolás Maduro na mkewe wafikishwa mahakama ya New York

    Namuona MamaSamia2025 na abduli wakipelekwa The Hague
  4. KING MIDAS

    Wakatoliki fake wa Samia na Mwigulu ni vita ya urais kati ya Nchimbi na Mwigulu 2030

    CCM imepoteza uhalali, hata agombee Lucas Mwashambwa na Pascal Mayalla hawatotoboa
  5. KING MIDAS

    Museveni ataka Afrika iungane kijeshi, asema bara lina faida katika vita vya nchi kavu

    Wauaji na wakandamizaji wa haki za binadamu wameanza kuogopa kunyakuliwa kutoka usingizini
  6. KING MIDAS

    Nikipenda huwa nakaba hadi penati hakuna kupumua

    Hiyo ni changamoto ya afya ya akili bro, wala sio kitu cha kujivu Mbunye kazaliwa nayo, nimchunge nitawezea wapi? Shika ushauri wangu huu, utakusaidia kwa afya yako ya akili, moyo na mfumo wako mzima kwa afya. Kwa mwanamke usiwekeze moyo wala akili yako, wekeza kucha na nywele, hata ukivikata...
  7. KING MIDAS

    Mpaka mawe yataongea

    Tumepata bibi wa taifa, DADA wa taifa, Shangazi wa Taifa na wengine wengi wanakuja
  8. KING MIDAS

    NHC Kijichi hizi bei

    Ufisadi mtupu
  9. KING MIDAS

    Kauli Hii ni Apologetic, Japo Mwanzo Alikomaa, Sasa Ameguswa, Ameumia, Amejutia!, Ameomba Msamaha!, Watanzania Tumsamehe, Yaishe Tusonge Mbele!.

    Pascal Mayalla, Mimi nimefiwa na wanangu wawili, walipigwa risasi wakitoka kununua mihogo ya kunywea chai siku ya tarehe 29 October kabla katazo la kukaa ndani halijatolewa. Wewe unaongea kirahisi sababu hujafikwa na msiba huu kwa kupoteza vinasaba vyako ulivyovihangaikia tangu vikiwa tumboni...
Back
Top Bottom