Hiyo ni changamoto ya afya ya akili bro, wala sio kitu cha kujivu
Mbunye kazaliwa nayo, nimchunge nitawezea wapi?
Shika ushauri wangu huu, utakusaidia kwa afya yako ya akili, moyo na mfumo wako mzima kwa afya.
Kwa mwanamke usiwekeze moyo wala akili yako, wekeza kucha na nywele, hata ukivikata...
Pascal Mayalla, Mimi nimefiwa na wanangu wawili, walipigwa risasi wakitoka kununua mihogo ya kunywea chai siku ya tarehe 29 October kabla katazo la kukaa ndani halijatolewa.
Wewe unaongea kirahisi sababu hujafikwa na msiba huu kwa kupoteza vinasaba vyako ulivyovihangaikia tangu vikiwa tumboni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.