Hii siyo sawa. Tunaweza kuwa na misimamo na hoja kizani lakini ni busara kuzitoa kwa hali inayojenga utanzania wetu siyo kwa njia ya kubomoa! Je kuzidi kuchochea hisia hasi za kikabila na vitisho ndiyo njia nzuri ya kuchangia mijadala mizito ya kitaifa? Mbaya zaidi kujaribu kutoa twasira kuwa...
Tafadhali jifunze kujenga hoja. Hueleweki! Aidha huna uhakika na ulichoandika au unasukumwa zaidi na ushabiki au unafiki wa aina fulani. Kumbuka jukwaa hili linatembelewa na watu wenye akili zao....
Ni vizuri viongozi wetu kisiasa hasa walio madarakani wakatambua uzito na umuhimu wa dhamana waliobeba kwa niaba ya Watanzania. Wanatakiwa mara zote wajiepushe na kauli zinazobomoa umoja na mshikamano wa kitaifa. Haipendezi hata kidogo kiongozi kushadadia mambo hasi tena mbele ya umati wa watu...
Well said! Ni vizuri kuikomesha biashara hii haramu inayodhalalisha heshima na utu wa mwanadamu! Polisi waachane kutumia mbinu za kizamani. wawashughulikie zaidi wale wanaoifanya biashara hii kushamiri ambao ni wanaume.... Wanaume wengi wanachelea sana kuaibika. Wakitiwa msukosuko dada poa...
'..GODSONI MBAGA amewaomba wananchi kumchagua kwa kishindo mwaka 2015 kupitia CHADEMA kama akipewa ridhaa kuipeperusha bendera ya chama Same MAGHARIBI. Pia amewataka makada wa CCM wanaorubuniwa kwa fedha za walipa kodi ili waendelee kuwa watumwa wa CCM kuepuka tabia hiyo kwani ni dhambi na...
Hebu kama watanzania tuelewe maana halisi ya UDINI; tafsiri yangu ni kuwa; ni ubaguzi na utayari kwa kutenda lisilo jema kwa binadamu mwenzako kwa sababu tu si wa imani yako. Tujiulize, je hivi ndivyo imani zetu zinataka? Na kama sivyo hatuoni kuwa tunapotoka kwa kuwasilikiza na kukubali...
Well said! Hakika tukiendelea kutowakemea na kutowathibiti kwa nguvu zote wanaoendekeza na kuupalilia udini kwa maslahi na sababu zao; taifa letu litasambaratika na kuwasababisha maafa makubwa kwa kila mmmoja wetu. Wenye dhamana na mamlaka ya kuhakikisha nchi yetu inajengeka kama mahali bora pa...
Hakika itashangaza sana endapo huyu jamaa mtoa mada asipotakiwa kutoa ushirikiano kusaidia uchunguzi. He/she seems to have some leads....Atakiwe na vyombo vya usalama kueleza yale anayojua kuhusu kadhia hii...
Ndugu Watanzania wenzangu, zinahitajika chehe tu kuichoma nyumba. Nyumba yetu sote ni Tanzania lakini inasikitisha jinsi baadhi ya watu wanavyozidi kuchochea chuki za kidini.
Yanayotokea hivi sasa kule Geita ni kiashiria kibaya kwa siku za usoni kama sote kama taifa tutashindwa kuweka tofauti...
We celebrate your life for what you did for the Church and Tanzanians. You served with all humility and christian love. Through your deeds and words you made Jesus endless love be felt by many, belivers and non-believers. May the merciful and gracious Lord grant you a place among his saints...
Uoga ni adui mkubwa wa maendeleo yetu. Mtumishi wa umma anayeogopa kusema na kuwa na ujasiri wa kusimamia kilicho sahihi na haki ana kasoro kubwa ktk utendaji wake na hawezi kutetea maslahi ya umma. Wafanye tafakari, wajue haki zao waondoe uoga!:A S angry:
Ukweli siku zote huweka mtu huru. Tanzania ni zaidi ya chama/vyama. Uzalendo, uadilifu na uwajibikaji kwa umma wa watanzania ndivyo vinavyohitajika. Bahati mbaya sana haya yanapelea ua kukosekana kabisa kwa chama tawala. Deo is an exception........ Keep it up.:happy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.