Magurudumu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,748
- 493
Kilicholeta kutoelewana ni mfumo wa muungano, serikali 2 au 3. UNDP wao wana mfumo gani wa muungano? Watakuwa hawana akili kama wataenda nje ya rasimu iliyopatikana kutoka kwa wananchi.
Bali Watanzania wote wamewapuuza.
Mwandishi kammisquaote. A diplomat wana kauli na lugha yao; au kaongea kiingereza waandishi hawakumwelewa!Trust me. Wanaijua sana tu. Wakoloni huwa ni wanafiki kuliko maelezo. As long as wanapata kila wanchotaka wataendelea kuwa sifu kwa mapambio ya kila aina. Mkitaka kujua ni kiasi gani wanawafahamu, nyie wageukeni, halafu muone ushahidi wanaokuja nao wa kuwabomoa! Hawa siyo watu. Kuna wakati huwa nataka kuanza kuamini kuwa kuwa "mru mweupe" ni kuwa na kasoro kimaumbile. I mean huwa nakaribia kufikiri kuwa viumbe sahihi walikuwa "watu weusi" ..... but I don't believe in that or any other theory, nadhani wote ni binadamu ila wengine ni wanafiki na wamekosa ubinadamu ndani yao, kwa hiyo, ni sawa na migomba inayotembea!
Kilicholeta kutoelewana ni mfumo wa muungano, serikali 2 au 3. UNDP wao wana mfumo gani wa muungano? Watakuwa hawana akili kama wataenda nje ya rasimu iliyopatikana kutoka kwa wananchi.
Mwandishi kammisquaote. A diplomat wana kauli na lugha yao; au kaongea kiingereza waandishi hawakumwelewa!
Ili kujua UNDP inaunga mkono 2 au 3, kwanza kabisa ni kuchunguza USA ina msimamo gani? UNDP huwa inatekeleza matakwa ya USA. US wakitaka serikali 2 au 3 basi itakuwa hivyo. UNDP ni mtumishi tu.
Upo correct Elly B, watu weupe ni wanafiki sana na dharau juu.Sijui sana. Ila kama una quote sahihi ni vizuri ukatupia hapa kuondoa utata. Ila msimo wangu unabaki palepale kuwa Hizi ni siasa za Tanzania wakae kimya wawaachie Watanzania, na pia watu weupe ni wanafiki sana. Hata bila quote yoyote huo ni msimamo wangu.
Nashauri UKAWA wamuandikie barua kumchana na kumjulisha kuwa watarudi BMK endapo bunge hilo litaanza kujadili rasimu iliyowasilishwa na tume na pia ccm wataacha matusi, ubaguzi na vitisho