Recent content by Kindok20

  1. K

    Nape Nnauye samehe na kusahau, mwache Hayati Magufuli apumzike

    HUYO NAE KAISHIWA SERA AJIANDAEE KUSHINDWA 2025
  2. K

    Msaada makadirio kwa ramani hii

    BATI ZA WEZA INGIA 100 AMBAZO NI KUANZIA 5,000,000
  3. K

    Nape na Makamba mjue kujaribu kumshusha thamani Hayati Magufuli, ni sawa na kumfuata mamba kwenye kina kirefu cha maji

    alitoa mawazo yake na akili yake aliifanyia kazi na wewe umeleta nini au ndo kuandika tu stupit
  4. K

    Nape na Makamba mjue kujaribu kumshusha thamani Hayati Magufuli, ni sawa na kumfuata mamba kwenye kina kirefu cha maji

    laana unazo wewe afadhali yeye alishajijua yupo wapi na wewe utakaangwa na shida zako humu humu duniani stupit
  5. K

    Nape na Makamba mjue kujaribu kumshusha thamani Hayati Magufuli, ni sawa na kumfuata mamba kwenye kina kirefu cha maji

    hata wewe bata mzinga utakwenda for good na kusahaulika vile vile bwege unaandika utafikiri utaishi milele stupit
  6. K

    Ndoa inaelekea kunishinda

    MMh! shost vumilia tu ndoa ndo ilivyo atajirekebisha acha kukata tamaa mapema mtangulize mungu mbele utavuka tu "I tell you" mie ninauzoefu
  7. K

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    we ngoja tu maduka ya game yote yanafungwa tutaelewa tu, halafu tozo mara kodi ya nyumba mmmmh:(
  8. K

    Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

    Kwa maoni yangu tu hapati mark my words
  9. K

    Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

    Nakuunga mkono 100% ni vibaka na bado wananchi tushachoka wala rushwa wakubwa na ngoja wakomeshwe hiyo ndiyo picha imeanza mchezo unafuata
  10. K

    Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

    We nae huyu si gaidi wala nini haya ni matokeo ya kutokutenda haki na kudhurumu mali za watu wanyonge kawakomeshaje na bado RIP Hamza
  11. K

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    MBONA TUMESIKIA HUYO PADRE ALIYEFARIKI ALICHANJA
  12. K

    Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

    weweee uhabari wanaochanja wengine wamekufa wewe!!!
Back
Top Bottom