Ni wapumbavu wanaweza amini Maneno yako kwa sababu tu wewe ni Mtumiaji wa madawa ya kulevya Na Mwenye cheti feki ambaye uliingizwa kazi Na Shemeji yko. Kwahiyo Mwenda zake alikugusa pole sana na naamini utakuwa umeacha cocain sasa Na umetoka sober house Na umeanza kujiendeleza kielimu.Jiwe mjaa laana yule ameiharibu nchi. Huko aliko akaangwe na moto wa jehanamu
"Tanzania one of the highly indebted countries in the world!" IMF and World BankNgoja ndege zife. Watamkumbuka kwa sana.
Utakaangwa wewe humuhumu duniani tena ukiona kwa macho yako na ukiupata uchungu na ugumu wa maisha yako, kwa kuombea marehemu ubaya.Jiwe mjaa laana yule ameiharibu nchi. Huko aliko akaangwe na moto wa jehanamu
hata wewe bata mzinga utakwenda for good na kusahaulika vile vile bwege unaandika utafikiri utaishi milele stupitKama mnampenda sana huyo dikteta si mfanye maombi mfululizo mpaka afufuke? He is gone for good. No matter how mtakavyojihangaisha, hatorudi. MTAPATA TABU SANA 🤣🤣🤣
Sawa na Chato Airport, tenda ilitangazwa ? ikaguliwe na kama tatatibu zilifuatwa na pesa ilitoka kifungu gani,Moja ya sifa za utawala Bora duniani Ni uwazi kwenye matumizi ya raslimali za Nchi.
Tatizo la watu kuomba taarifa ya matumizi wa fedha zao Ni lipi?
Au unadhani Kama Magufuli alikopa, Ni familia yake watalipa?
Kama alikopa na kutumia kwa mujibu wa taratibu na sheria, hofu ya kuomba ukaguzi inatoka wapi?
Tena nadhani ndio ingekuwa vizuri mikopo hiyo ikakaguliwa ili marehem awe cleared.
Tusianzishe upashkuna usiokuwa na sababu
laana unazo wewe afadhali yeye alishajijua yupo wapi na wewe utakaangwa na shida zako humu humu duniani stupitJiwe mjaa laana yule ameiharibu nchi. Huko aliko akaangwe na moto wa jehanamu
... Upinzani ni dhana pana...Upinzani ni natural phenomenon: uko mioyoni. Wapo waliodhani upinzani ni brand name ya CHADEMA. Sasa wao ndio “pinga pinga” kama walivyokuwa wakidhihaki. Na kama hawaijui CCM vizuri wakiendelea kumbeza mama, ndipo watakapojua maana halisi ya kuwa mpinzani Tanzania.
ratiba hujaiona stupit weeHakuna mgao wa maji na umeme acha kupotosha.
alitoa mawazo yake na akili yake aliifanyia kazi na wewe umeleta nini au ndo kuandika tu stupitGaidi hakutoa chochote mpaka anazikwa kwao: zaidi alitapanya pesa zetu kwa kisingizio cha uzalendo uchwara
Kauliza kuhusu mchango wa guidealitoa mawazo yake na akili yake aliifanyia kazi na wewe umeleta nini au ndo kuandika tu stupit
Kukuelimisha ni mzigo bro sitapoteza muda tena kwa heri.
So what? Muhimu ni hawa wawili wanaojadiliwa na mleta thrd. Nionavyo; JPM alifanya makosa mengi na mema mengi. Tatizo ni uwezo wa hawa wanaojidai kukosoa. Nape na Makamba wote ni elimu duni, na uwezo duni. Ni muhimu tupate wenye uwezo ambao tunaweza hata kuwauliza maswali. NOT these two incapables!Hizi Nchi zetu ukiwa Rais unaamua kila kitu bila kupingwa. Hakuna angezuia maamuzi yaliyofanyinywa.
Legacy ipi kwa mfano??Ni ngumu sana kuifuta legacy ya Magufuli kama lengo lako ni hilo
Tutaendele kumkumbuka kama tunavyowakumbuka Hitler, Idd Amin na madikteta wengineo walioko kuzimu(kusikojulikana).Magu ni mwaka huu kuanzia mwakani anasaulika mazima
Mnyonge in wewe.....Sisi wanyonge.
Good question akili pimbi hawezi kujibuKwanini usimshukuru mungu wako ili aiondoe ccm inayokutesa kila siku?
Na vipi baada ya mungu wako kumuondoa dhalimu mko vizuri sasa ee?