Huyo ajitambui na ukiendelea kumdekeza anakuletea HIV piga chini ili aende kwa uyo X sindio anaemuona kuwa wa muhimu mpaka hakusikilzi,ikiwezekana na makofi kabisa.
Endelea kujifariji na hiyo 589000 najua ikigongwa makato inayobaki ni siri yako lkn mkuu anahimiza umoja ili nanyi Yale mapunjo yenu muwe mnalipwa kwa wakati .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.