Recent content by kindamba kuchocha

  1. kindamba kuchocha

    Hivi hizi kanuni za TANU bado zinafanya kazi katika serikali ya sasa ya CCM?

    Jamani nimepitia japo kidogo kanuni za TANU na nikajaribu kuoanisha na CCM yaani mpaka nimestaajabu.
  2. kindamba kuchocha

    Jamani nauza stationary yangu nimehamishwa kikazi

    Line za m pesa, tigo pesa na airTel money zote ninazo nauza bei poa! 0752698636 Line zote zinafanya kazi Dar
  3. kindamba kuchocha

    Line ya Tigopesa, M-Pesa na Airtel Money

    Jamani nimetanuka kifursa kidogo hivyo biashara ya m pesa siwezi tena kuisimamia kuna biashara nyjngine ambayo inahitaji muda wangu wote wa uangalizi! Nauza line za kazi tatu! M pesa, tigo pesa na airtel money! Check na mm 0752698636
  4. kindamba kuchocha

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Mzee Ndyankama Jkt mgulani
  5. kindamba kuchocha

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Nachinukwu kuluwona Sebastian kolowa memorial university (2011-2014)
  6. kindamba kuchocha

    Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

    Jamani huu mradi unaelekea kuisha! Basi tusiwe wenye kupost picha tu! Tuwe na wenye kupeana fursa za mradi huu . Mfano tenda za uuzaji wa tiketi za brt nk.
  7. kindamba kuchocha

    Betting: Vigezo vya kumiliki Mashine, changamoto za biashara na faida zake

    Mh! Kaka ku bet ni kubashiri na siyo kamali! Mbona hata shekh yahya alikua anatabiri inamaana shekh wetu na yy alikua anacheza kamali? Je ni maandiko gani yanayosema kubashiri, kubahatisha na kutabiri kitu ni haramu? Bado sijayaona mashaka ya kubeti na ubatili wake hakika ni haki kufanya ubashiri!
  8. kindamba kuchocha

    Betting: Vigezo vya kumiliki Mashine, changamoto za biashara na faida zake

    Habari wanajamii. Nina shida ya mashine ya ku bet ya premier. Nimefungua ofisi na miongoni mwa biashara tarajwa ni pamoja na ku bet. Nimeenda ofisini kwa premier betting ila wamesitisha kutoa machine mpaka ligi zianze . Kwa ufanisi wa biashara yangu ninaihitaji machine kipindi hiki kabla ligi...
  9. kindamba kuchocha

    Kuomba ajira mpya ya ualimu

    Sidhani kama usiporipoti mwaka huu ndo huna tena nafasi ya kufundisha maisha yote, mbona zamani ajira zilikua hazitoki moja kwa moja na watu walikua wanaomba ajira na wanapata .
  10. kindamba kuchocha

    Kuomba ajira mpya ya ualimu

    Najua ninachilipwa kaka nina uhakika but sijasema nafanya kazi kwa mzungu! Nafanya kwa raia wa kigeni, nadhani hata mkenya ni raia wa kigeni lkn siyo mzungu.
  11. kindamba kuchocha

    Kuomba ajira mpya ya ualimu

    Tatizo kaka ningeenda kuripoti ningeingizwa ktk system n hazina so ingekua ngumu kuomba kazi nyingine selikarini
  12. kindamba kuchocha

    Kuomba ajira mpya ya ualimu

    Naona hii itakuwa idea nzuri
Back
Top Bottom