Unaweza fikiri unajua lakini hujijui kama hujui kagame si mjinga wewe Fuatilia ni nchi gani imeongoza kwa kiwango kikubwa kutopitisha mizigo Bandari ya DSM tu kwanza mengine utafikirishwa
Haipo na haijawahi kutokea hakuna watu waliokamatwa mpaka sasa na Askar wa polish wamezingira nyumba inayosadikiwa ndimo wapo wahalifu hao lakini mpaka sasa Wameshindwa kuingia ndani ya jengo hilo Source Efm
Tena mwenyewe akili mgando na finyu kupambanua kama wewe ndo ataona kudai haki ya kikatiba ni kumtingisha Rais kwa kuwa ni mvivu wa kufikiri na kupitia hiyo katiba hata karatasi mbili tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.