Recent content by kimyamana1981

  1. K

    Mange Kimambi ni mkubwa kuliko CHADEMA wenyewe

    Nimeshindwa kumaliza kusoma ila tukubaliane kuwa No Reform No Election
  2. K

    Mashekhe wote kwa umoja wenu: Ijumaa ijayo khutba iwe ni October TUNATIKI ✅

    Mimi simo mkuu katika wa kuwasemea maana me sina dini,ila mtoa uzi analalamika kuwa shehe kauawa alafu mapadre hawasemi chochote
  3. K

    Mashekhe wote kwa umoja wenu: Ijumaa ijayo khutba iwe ni October TUNATIKI ✅

    Kwanza kwenye dini me usinihusishe sipendi dini yeyote, naona ni ujinga tu na hizo dini zenu ila nimekushangaa unapotaka kutetewa na wanaume wenzio, what a shame? Nasisitiza sipendi dini yeyote maana dini kwangu ni ujinga sihitaji kuwa nao!
  4. K

    Mashekhe wote kwa umoja wenu: Ijumaa ijayo khutba iwe ni October TUNATIKI ✅

    Sasa na nyinyi mmezidi ulegevu shehe wenu kauawa mnataka wakristo ndio wawasemee?
  5. K

    Lissu amesahaulika kabisa na watu hawana habari naye kabisa mitaani. Ni lazima ajue hana umuhimu wowote

    Kwa H Kwanza kabisa mimi sio ndugu yako,alafu Lisu ndio kasababisha vurugu zote hizi ilhali yupo jela mama yenu anamjua vizuri, Kama kasahaulika ulikumbukaje kumuandika
  6. K

    Yezebeli aonekana kutokea juu akiwa ameparalaizi na kuoza wakati anakaribia kutoweka

    Mwamposa anaombea mpaka ndani ya CCM na bado nchi inaoza sasa si bora taharuki tu,manabii more "taharuki"please.
  7. K

    Naapa hii nchi haitakuja kutawaliwa tena na Mzanzibar

    Mzanzibar hana kwao maana ni mtumwa toka sehemu mbalimbali ndio maana hana kabila, mara nyingi watumwa ni wa kutwaliwa tu hakuna namna nyingine.
  8. K

    CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

    Hata Amber rutty ni maarufu vipi ana manufaa yeyote kwako?
  9. K

    Mkakati wa Kuingiza Nchi Kwenye Machafuko

    Nchi tamu ndio maana mnabwabwaja,kwa mfumo wa maisha haya aisee lolote likitokea ndio safi tumechoka kushuhudia watu wanakula keki peke yao!!
  10. K

    Ibrahim Traore akikutana na Putin na akikutana na waafrika wenzie

    Hata mimi nisingemwamini mwafrika yeyote,maana viongozi wengi waafrika wazalendo walisalitiwa na waafrika wenzao,, halafu Traore Putin ni mahitaji wake au nae beberu? Niambie koloni my mojawapo la urusi huku Africa alafu urudi kumsema Traore,sasa nasemaje Traore kaza hapo hapo.
  11. K

    PreGE2025 CHADEMA na vyama vingine chukueni mwelekeo huu haraka kabla ya uchaguzi, mtanishukuru baadaye!

    Lakini ndio wanaoamdamwa kuliko chama chochote kwa nini? Kama hawana ajenda si wapuuzwe? Au nao waanze kuleta agenda za empox na ebola imeletwa na CCM?
  12. K

    PreGE2025 CHADEMA na vyama vingine chukueni mwelekeo huu haraka kabla ya uchaguzi, mtanishukuru baadaye!

    Wewe ndio kabisa hujui kitu kuhusu vijijini, vijiji vya leo sio vya enzi ya Nyerere,siku hizi wanajitambua mbaya na kama smartphone hata kijijini tunazo kama zenu tu wa mjini tunajua yote yanayoendelea nchini,mchawi ni wasimamizi wa uchaguzi na to tume ya CCM ikibadilika hiyo dunia itashangaa
  13. K

    Papa Fransis aacha utajiri sawa na shilingi laki mbili na nusu za kitanzania

    Kaacha utajiri wa 250k alafu kazikwa na madini ya dhahabu na fedha ili akaishi nayo kitajiri huko aendako? Kuna vitu kwa kweli vinachanganya,hasa hizi dini zenu.
Back
Top Bottom