Nimefanya nao kazi TPB shinyanga yaan ifahamu vizuri Tpb kwanzia mission, vission objctvs etc. Faham pia product zake wanajishughulisha na nini, lkn pia unategemea kuleta mabadiliko gani baada ya kuajiliwa
Haya yote tuliyoyazungumza hapa kuanzia mtu anapokaribia kuacha kazi apewe notice yanakuwa kwenye mikataba ili lisipofanyika hilo unahaki ya kulalamika kokote kule, fedha ya likizo, martenity or partenity live, allowances may be house allowance, transportation, communication etc , Security...
Ilikuwaje ufanye kazi hadi mkataba uishe bila kuuliza suala lako la mafao? Je mshahara wako Ulikuw unakatwa 10%ya mafao yako au ulikuwa Unapew wote kama ulivyo na je ulijiunga na mfuko wowote. Ninaongea ki Hr kabsaaa ushauri wangu ni huu ela ta likizo yaan basic ni haki yako ikiwa ulikuwa...
Habari zenu wependwa. Nmehitimu degree ya utawala, natafuta kazi yoyote ile ilimradi iwe halali naombeni mnisaidie jaman au niunganisheni hata na mashirika yanayohitaji wafanyakazi nawaomba jamn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bajeti ya Wizara, wizara inakuwa inahitaji hao watu 8 lkn hawafanyi upembuzi wa kina kuona kama wanaouwezo wa kuwalipa so ndio mwisho wa siku yanatokea hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.