Recent content by Kimunee

  1. K

    Call for Interview Postal Bank (Sales Executive)- Advice

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. K

    Call for Interview Postal Bank (Sales Executive)- Advice

    Nimefanya nao kazi TPB shinyanga yaan ifahamu vizuri Tpb kwanzia mission, vission objctvs etc. Faham pia product zake wanajishughulisha na nini, lkn pia unategemea kuleta mabadiliko gani baada ya kuajiliwa
  3. K

    Inawezekana kufaulu usaili wa sekretarieti ya ajira halafu Ofisi au Taasisi husika kumkataa muhusika baada ya jina lake kupelekwa?

    Hii na kawaipo imeshamtokea mtu wangu wa karibu na simu akapigiwa kabsa toka utumishi kuriport kazini na kazi hakupata mpka leo
  4. K

    Ukiitwa kazini Serikalini, kuna pesa ya awali ya kujikimu?

    Ni kweli hata mm nina ndugu yangu yuko Tanroad huu mwezi wa pili toka aanze kazi hajapewa hela ya kujikumu
  5. K

    Nimemaliza mkataba kazini,je,haki zangu ni zipi?

    Haya yote tuliyoyazungumza hapa kuanzia mtu anapokaribia kuacha kazi apewe notice yanakuwa kwenye mikataba ili lisipofanyika hilo unahaki ya kulalamika kokote kule, fedha ya likizo, martenity or partenity live, allowances may be house allowance, transportation, communication etc , Security...
  6. K

    Nimemaliza mkataba kazini,je,haki zangu ni zipi?

    Ilikuwaje ufanye kazi hadi mkataba uishe bila kuuliza suala lako la mafao? Je mshahara wako Ulikuw unakatwa 10%ya mafao yako au ulikuwa Unapew wote kama ulivyo na je ulijiunga na mfuko wowote. Ninaongea ki Hr kabsaaa ushauri wangu ni huu ela ta likizo yaan basic ni haki yako ikiwa ulikuwa...
  7. K

    Kwa wale waliofanikiwa kufaulu oral utumishi

    Umrnikumbusha machungu kwel hili lipo had nmekata tamaa na interview za Serikal
  8. K

    Mshahara wa Mwalimu

    Exctly
  9. K

    NATAFUTA KAZI

    Habari zenu wependwa. Nmehitimu degree ya utawala, natafuta kazi yoyote ile ilimradi iwe halali naombeni mnisaidie jaman au niunganisheni hata na mashirika yanayohitaji wafanyakazi nawaomba jamn Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Bandari waanza kuita watu kuripoti kazini

    Nimekuinbox mkuu naomba msaada wako Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    UTUMISHI HILI LA TPA SIJAWAELEWA KABISA

    Na mim pka nilifanya oral pale kivukoni yaana acha kabsa rafiki nasikia wanaita kimyakimya Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Sekretarieti ya Ajira: Tangazo la kuitwa kazini kwa waliofanya usaili Februari 8-15, 2019

    Hata tukiofanya TPA mwezi wa kwanza hawajaita why Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Hongera secretariate ya ajira kwa hatua hii ya video conference

    Ni bajeti ya Wizara, wizara inakuwa inahitaji hao watu 8 lkn hawafanyi upembuzi wa kina kuona kama wanaouwezo wa kuwalipa so ndio mwisho wa siku yanatokea hayo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Majibu ya usaili wa maongezi wa TPA yanatoka lini?

    Yaan kiukweli hata sielewi nilijua kwenye hiz walizopanga na wao pia wangekuwemo lkn hakuna so hata sielewi Sent using Jamii Forums mobile app
  15. K

    Upishi na utembezaji bidhaa

    Nmekuelewa mkuu nilifikiri yaan ni yale mateso niliyomuona nayo yule dada aiku moja[emoji24][emoji24] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom