papaa maglass
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 352
- 300
Wale waliopata Kazi mjibuni jamaa badala yakuanzisha mada mpyaHabari wakuu,
Naomba kuuliza kwa wale waliofanikiwa kufaulu oral interview utumishi na kupata kazi, je, mlijibu maswali yote kwa ufasaha?