Recent content by kimpawwe

  1. K

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa(CHADEMA): Polisi waache kuisaidia CCM, ninachofanya ni sehemu ya majukumu yangu kama Mbunge wa Upinzani

    Cha kushangaza wanalipwa mshahara kiduchu na kukaa nyumba za mabati cjui walilogwa na nani.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya kughushi vyeti iliyofunguliwa na Boniface Jacob dhidi ya Paul Makonda kuanza kusikilizwa leo

    Hivi huyu haogopi watu wasiojulikana? Namuonea huruma.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Kweli ww ni mtu usiejulikana maana unalazimisha kijani kuwa nyekundu. Mmeshindwa kumuua lisu mmebaki kuweweseka na uchochezi pumbav
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Chonde chonde Wananchi, endeleeni kuliamini jeshi la Polisi

    Ccm wanahubiri amani mikono yao imelowa damu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hili la mifuko ya jamii linatosha kuing'oa CCM madarakani

    Pesa za mifuko hii zilishaliwa na serikali ya ccm kwa kujenga udom, daraja la kigamboni na magorofa yakutosha
  6. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

    Ngoja watu wasiojulikana wakunyatie
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

    Nina mzigo muda mrefu hauuziki nikiuza kidogo nanunua kilo ya unga na dagaa nahisi kwa mwendo huu mzigo ukiisha ntakosa mtaji
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

    Amani iwe nanyi, kwa wenzetu mlioajiriwa vipi mwezi huu kuna increments kwenye mishahara yenu? Maana sisi wachuuzi wa bidhaa huku mitaani hali sio nzuri tunawategemea nyinyi mkipata na sisi tumepata: maana nasikia ule uhakiki wa miaka miwili umekwisha. Kazi njema
  9. K

    JamiiForums Tanzania Rushwa ni donda ndugu ndani ya CCM

    Amani iwe nanyi, inashangaza serikali inayojinasibu kupambana na rushwa na ufisadi kuendelea kutuhumiwa kuwa kunara wa kutoa rushwa. Tulianza kusikia wabunge wote wa ccm walihongwa mil 10 kila mmoja ili kupitisha madudu bungeni, watu walipaza sauti kukemea na kuhoji swala hili lakini serikali...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Urais wa Kizalendo ni mgumu Tanzania

    Huyu jeri muro ndo yule tapeli aliekutwa na pungu au?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

    Ngoja watu wasiojulikana wamtolee bastola naona amesahau
  12. K

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Nilivyoingia sukari Ilikuwa Sh. 5,000/- sasa hivi imeshuka na itaendelea kushuka

    Uko sahihi wadanganyika kazi kushangilia2
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ndugai: Lissu hawezi kutibiwa kwa michango, ana stahiki zake kama mbunge

    Mtu asiejulikana
Back
Top Bottom