Yeeep, ni vitongoji maeneo vilivyopo ndani ya halmashauri zilizo ndani ya mkoa wa DSM .. mbopo ni manispaa ya kinondoni , zingiziwa nadhani ni Temeke, Kifuru ni ilala kama sio ubungo halmashauri,
Nauli yao ni kubwa kwenda wapi labda??..na je uwekezaji wa KQ na ATCL unawiana?? Kajaribu kufanya uwianisho wa nauli za KQ within KE na ATCL ndani ya TZ halafu ujionee ,
na hapo juu tu umetoka kukubali Kodi zinazotozwa na ATCL ni kubwa ( actually wanachotoza ni tozo sio kodi, Kodi wanaikusanya...
Hao ATCL wakati wanafufuliwa na uncle hayati JPM, waliopaswa kumshauri waliogopa na kuhofia kusema iliyo kweli, shirika lilifuliwa bila mpango mkakati, zikanunuliwa ndege ambazo kwa wakati mfupi na wa kati hazikuwa na tija, mapanga shaa q400 ni ndege nzuri sana kwa regional air transport, tozo...
..Bahati mbaya sana kwa nchi yetu hatuna utaratibu rasmi, kama wapangaji (tenants) wangekuwa na utayari wa kulipia security deposit na uwezo wa kulipia pango (rent) kwa wakati , sintofahamu na migogoro na kero nyingi zingefutika. Shida udalali mwingi na tantalila za wapangaji kwa wamiliki, ..ni...
You'll be surprised mlolongo wa vitu utatakiwa kuwa navyo to be allowed to produce toothpicks... Itoshe kusema utaambiwa uonyeshe wapi una shamba la mianzi . 😏😔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.