Baadaa ya kipigo kikali walichopewa kutoka kwa chuma,jiwe,the rate mwenyewe Jpm hatimae msoga gang inarejea taratibu Hadi kwenye uwaziri hapo tukiwa tuishamwona mmoja J makamba hatimae
Nape Nauye
Ridhiwan kikwete ,huyu yeye inakuwa mara yake ya Kwanza kupewa wizara
Nahisi utakuwa hivi,nawasilisha