Hii article imeandikwa kichochezi.Wengi walipinga ule waraka lkn hii haujawahi kuwa sababu ya wao kutengwa na kabisa.Kanisa Katoliki ni tooo liberal na linaamini katika hoja ndo maana waamini wake wako huru kuchangua aina ya maisha wayatakayo.
Ni kweli Kanisa halishiriki mazishi ya mtu ambaye...
Maaskofu walifanya kazi kubwa sana kuushape ule utawala na kwa kiasi kikubwa walidaidia sana.Shida majuha kama ww mnataka Maaskofu wawe activists ndo muelewe.Waliifanya kazi yao quit professionally nawapongeza sana.
Wewe na kanisa Kako Ka mwaka 2022 unapata wapi uwezo wa kusema kanisa lilikuwepo kwa miaka zaidi ya 2000 kuwa linapotosha?Yan uelewa wako mdogo wa Biblia unautumia kudanganya wajinga wenzio.
Kaka hiyo concept ya Pass over na Easter huwezi ielewa kirahisi.Nenda kwa Padre wa Kanisa Katoliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.