Recent content by kimbangu

  1. kimbangu

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    Kigezo cha pua ndefu na miaka 34 vinanikosesha mke jmn[emoji1787].....ila na ww hujatuambia kabila lako Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kimbangu

    Natafuta mume mkristo

    Dah 31 inanikost hapa ...nakosa mke hivihivi[emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kimbangu

    Hivi akina Mbowe wanaendelea kusota rumande kutokana na sababu za kisiasa?

    Si kwasababu za kisiasa bali kwa kukiuka Masharti ya dhamana!
  4. kimbangu

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Fallacy Hasty Generalization Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kimbangu

    Ajali ya waziri wa utalii... Je ni vita ya ndani ama ya nje?

    Thats 1VD FTV VX-R V8 six speed (7 being reverse) twin turbo n can do up to 260 km/hr bila shida.. Pili ni nadra sana gari ya kiongozi ikaonekana na namba za initials za cheo chake in the event of accident as tukio lolote likitokea cha kwanza kutoa ni namba kwa ajili ya usalama na kumbuka zile...
  6. kimbangu

    Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

    Busara ni kitu cha bure kiongoz, sijamtusi mtu hapa kama ulikerwa na nlichopost ungekaa kimya may b wengine watapata ufahamu.. Tuwe wabunifu kwenye mambo ya msingi na si kuonyesha ubunifu na umahiri kwenye kutukana,
  7. kimbangu

    Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

    CGI-Commissioner General Immigration IGP-inspector General Police CDF- Chief of Defence Forces CGF- Commissioner General Fire CGP- Commissioner General Prisons CS- Chief Secretary CAG- Comptroller and Auditor General AG-Arttoney General S-Speaker N S-Naibu Speaker KUB-Kiongoz wa...
  8. kimbangu

    Mbinu za kubana matumizi ya mafuta kwenye gari yako

    Vingine muwe mnajadili katika mfumo wa kuuliza kama huna uhakika navyo... Kwenye gari mfumo wa gesi ya ac unauhusiano wa moja kwa moja na mzunguko wa engine kwa maana compressor ya gesi ya ac inazungusgwa na belt ambayo inategemea mzunguko wa engine hivyo unapowasha ac engine inakua imeongezewa...
  9. kimbangu

    Huu msalaba wa Maamuzi mabovu unabebwa na nani? - Zitto Kabwe

    Yan kama kuna kitu kimenifanya nicheke mwanzon mwa mwaka huu ni hii post daaahh.......
  10. kimbangu

    Kuendesha gari na sandles kwa traffic ni kosa?

    Itakua hukuenda driving course kama hujui kama hilo ni kosa.....
Back
Top Bottom