Recent content by Kimbakuli

  1. Kimbakuli

    PostGE2025 Bashe alikosea kitu gani?

    Kwani Jerry Silaa alikosea nini?
  2. Kimbakuli

    Waziri Mkuu Majaliwa una Legacy gani ya kujivunjia kwa watu wa Kusini, Kwenye Uwaziri Mkuu wako?

    Angejenga chuo kikubwa Mtwara ningemwelewa sana but sijui kafelije hapo
  3. Kimbakuli

    Imekuwa serious sasa, ishu ya dada aliyebakwa imefika hadi BBC Swahili

    Kwenye nchi masikini! Masikini hatuna haki
  4. Kimbakuli

    TISS waandaeni Polepole, Silaa, Makonda na Kafulila kwenye nafasi ya Urais ili Taifa liungane kuelekea Uchaguzi 2029/2030

    Kuna maada nyingi za kujadili kwa ajili ya kulisaidia taifa lako km solution for agro-economy, solution for unemployment, solution for poor education or solution for favourable balance of trade. Lakini unaleta maada ambayo haina kichwa wala miguu. Labda tukujuze kidogo jambo usilolifahamu, nchi...
  5. Kimbakuli

    Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

    Km kuna jambo linaloweza kumpitisha kwenye wakati mgumu kwenye utawala wake ni hili. Mwendazake tried but watu tulitegemea jambo baya linaweza mkuta katokana na kuwaweka nje ya mfumo wenye chama chao. Na yeye anajaribu kwenye nyakati ambazo wenye chama chao walitulia tu pamoja na kwamba hawakuwa...
  6. Kimbakuli

    Shule nzuri ya form V

    Civics-A History-A Geography-A Kiswahili-B English-A Physics-B Chemistry-A Biology-A Mathematics-A Huo ndio ufaulu wake
  7. Kimbakuli

    Shule nzuri ya form V

    Habari Gani Mataalam. Aisee kina bwana mdogo wangu amefaulu anataka kwenda FormV. Kwa sababu hapa ni nyumbani kwa wajuzi naomba mnisaidie shule nzuri ya formV kwa kuzingatia haya. 1. Mchepuo wa sayansi 2. Iwe mchanganyiko(Girls&Boys) 3. Ada iwe around 2M-3M Thanks
  8. Kimbakuli

    Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

    Mijitu mingine mizwazwa sana, Nigeria Algeria wanasupply gesi asilia kwnye nchi kadhaa africa lakin mbona wametoboa tu kuliko wewe unaetaka kulalia gesi, i think we jamaa hujui kitu kuhsu biashara za mataifa
  9. Kimbakuli

    Mdee, Gekul, Silinde, Nassari, Butiku, Bulaya, Katambi, ndio wamenifanya niamini kwamba siasa Tanzania ni kuchumia tumbo tu sio kuwatumikia wananchi

    Tuliwaona ni makamanda walioiva mno, waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya kutetea, haki za binadamu, demokrasia, katiba na n.k Lakini mmoja baada ya mwingine wakaanza kusaliti kambi ya mapambano. Wakathamini fedha na madaraka kuliko kuwatetea wananchi, Aisee!! Halafu leo utakuja kuniambia kuna...
  10. Kimbakuli

    Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

    Unataka kusema kwmba hana zuri alilolifanya
  11. Kimbakuli

    Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

    Unajua kazi ya uongozi inahitaji uzoefu pia km kada zingine, makonda ana uzoefu na siasa so cv yake ni nzuri kulinganisha na mtu ambae ndo anaanza. Ata km hatateuliwa lakini kuna siku atagombea mahali na atapita na atarudi kwnye siasa tu. Mark my words
  12. Kimbakuli

    Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

    Nakuelewa sana but kosa sio kosa ila kurudia kosa ndio kosa
Back
Top Bottom