Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 405
- 427
Tuliwaona ni makamanda walioiva mno, waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya kutetea, haki za binadamu, demokrasia, katiba na n.k
Lakini mmoja baada ya mwingine wakaanza kusaliti kambi ya mapambano. Wakathamini fedha na madaraka kuliko kuwatetea wananchi, Aisee!!
Halafu leo utakuja kuniambia kuna wanasiasa wanapigania katiba, haki, demokrasia na maslahi ya nchi, Ah wapii.. Sitakuelewa.
Wanasiasa wengi wa nchi masikini wapo kwa ajili ya kutetea matumbo yao tu.
Kazi iendelee.
Lakini mmoja baada ya mwingine wakaanza kusaliti kambi ya mapambano. Wakathamini fedha na madaraka kuliko kuwatetea wananchi, Aisee!!
Halafu leo utakuja kuniambia kuna wanasiasa wanapigania katiba, haki, demokrasia na maslahi ya nchi, Ah wapii.. Sitakuelewa.
Wanasiasa wengi wa nchi masikini wapo kwa ajili ya kutetea matumbo yao tu.
Kazi iendelee.