Hawa wanajiona kama there are next to God wakati wanatafuna kodi zetu na they are not apperciate sisi walipa kodi na wana lugha ya et mamaaaaa katoa bbb kadhaa na siyo kwa hisani ya walipa kodi wa TANZANIA.
Kwa masikitiko makubwa sasa mmeamua kula nje ya kamba naona mnatunia mipira inayovutika. Hivi ni kwa nini maji hayatoko kwa siku nnee?
Na hamtoi taarifa yeyote, hivi nyinyi mnatuchukuliaje sisi wenye nchi au mnataka tutanguilie mbinguni. Raisi wa nchi ini msimamizi na sisi ndiyo boss wakee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.