Ugomvi na matusi vinatoka wapi mkuu..nimeshindwa kusema kwa sabab sina reference ya maandiko na wewe uzi wako umeuleta kimaandiko..ungeuleta uzi wako kihuni ningekujib kihuni kama unavyotaka..so jifunze kuleta uzi kwa namna fulani kwa kufocus parception ya wachangiaji..ukipanic haisaidiii...
Kama hyo cm anaitumia kuingiza pesa sawa kama project designer,application made,blog leader sawa.lakin kama anataka kutumia kwa mambo ya kimbea mtandaoni aisee huyo si mwanamke wa kuona huyo ni wa kukula na kuamsha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.