Recent content by KIM JONG

  1. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa maduka wanahitajika (Shop Attendants)

    Wanahitajika wafanyakazi wa kuuza maduka ya Vilainishi, Vinywaji, uwakala wa mabenki na huduma za kifedha kupitia mitandao ya simu. SIFA: 1. Awe amemaliza kidato cha NNE na kufaulu masomo na awe na cheti cha mafunzo yoyote (Certificate au Diploma) AU awe amemaliza kidato cha SITA na si zaidi...
  2. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Tuma watachambua wenyewe. Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
  3. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Vacancy - shops and inventory controller

    Inakua kwa kasi. Kumbuka kuwa Kisarawe ina eneo kubwa lililotengwa kwa ajili ya viwanda na vinazidi kujengwa. Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
  4. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Mshahara na marupurupu mengine yatajulikana wakati wa interview.
  5. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Hapana siyo sahihi. Ukifanya hivyo watakuja wenye sifa na walio na sifa, utakuwa na watu wengi ambapo kazi za kawaida hazitafanyika. Kwa email watachuja wanaowafaa na kuwaita katika interview.
  6. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Hapana. Ingekuwa hivyo kusingekuwa na haja ya kutangaza.
  7. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Kazi ya wenye degree na diploma: Vacancy - shops and inventory controller - JamiiForums Vacancy - shops and inventory controller
  8. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Kazi yako hii hapa: Vacancy - shops and inventory controller - JamiiForums Vacancy - shops and inventory controller
  9. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    Hapana. Waachie wadogo zako, utakuwa ume-overqualify!
  10. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika wauza duka (shop attendants)

    WANAHITAJIKA WAUZA DUKA (SHOP ATTENDANTS) SIFA ZA MWOMBAJI -Umri: miaka 18 - 25 -Elimu Form Four au Form Six lakini aliyepata cheti cha masomo (academic certificate) -Awe muaminifu, anayejituma na mwepesi wa kuelewa. BAADHI YA MAJUKUMU MUHIMU: -Kuuza vifaa vya dukani -Kuhakikisha bidhaa...
  11. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Vacancy - shops and inventory controller

    Please send your application letter together with your CV to: rvbizsolutions@gmail.com It is expected that your CV will have telephone / mobile number(s) to be used to contact you.
  12. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Vacancy - shops and inventory controller

    Job Post: SHOPS AND INVENTORY CONTROLLER Reporting to: BUSINESS MANAGER Applications are invited from suitable Tanzanians to fill in above post. MAJOR RESPONSIBILITIES: Completes all necessary monthly and adhoc stock takes and produce relevant reports. Ensures efficient, high quality shops...
  13. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Wabongo kwa maringo hatujambo...! Ukiona mpaka kazi inatangazwa basi ujue ni Kampuni iliyojipanga. Ingekuwa ubabaishajibabaishaji si jamaa wana ndugu wengi tu ambao hawana kazi kule kijijini walikotoka. Si wangewaajiri tu ndugu zao? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Ni Astashahada. Astashahada = Certificate Stashahada = Diploma Shahada = Degree .... Sent using Jamii Forums mobile app
  15. KIM JONG

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Hiyo ni TTCL Landline (simu ya melani). Wale wa zamani wanazijua sana namba hizo...! 023 ni code namba ya mkoa wa Pwani au Morogoro. Hata hivyo usiwe na wasiwasi kuhusu gharama ya kupiga kwani ni kama vile una tigo halafu unapiga mtandao mwingine (voda, halotel, smart, airtel). Sent using...
Back
Top Bottom