KIM JONG
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 213
- 57
Wanahitajika vijana kwa ajili ya kuuza duka.
SIFA ZA WAOMBAJI
1. Awe amehitimu na kupata cheti cha kidato cha nne
2. Awe amehitimu mafunzo ya kozi ya biashara ngazi ya astashahada (certificate) au kozi nyingine ya astashahada inayofanana na hiyo.
3. Awe mwaminifu na mwenye kujituma bila kusimamiwa na mtu katika kutekeleza majukumu yake.
4. Awe na umri usiozidi miaka 25.
MWENYE SIFA TAJWA HAPO JUU PIGA SIMU MUDA WA KAZI KWA NAMBA.023-2401018
ENEO LA KAZI NI KISARAWE-PWANI.
SIFA ZA WAOMBAJI
1. Awe amehitimu na kupata cheti cha kidato cha nne
2. Awe amehitimu mafunzo ya kozi ya biashara ngazi ya astashahada (certificate) au kozi nyingine ya astashahada inayofanana na hiyo.
3. Awe mwaminifu na mwenye kujituma bila kusimamiwa na mtu katika kutekeleza majukumu yake.
4. Awe na umri usiozidi miaka 25.
MWENYE SIFA TAJWA HAPO JUU PIGA SIMU MUDA WA KAZI KWA NAMBA.023-2401018
ENEO LA KAZI NI KISARAWE-PWANI.