Haya mambo yapo mbona, mwaka jana jamaa(mwizi) alimkodi bodaboda kutoka maeneo ya Africana kumpeleka goba akamwambia anaenda kupima madirisha ya nyumba kwenye site, Hivyo akamuomba wapite dukani wanunue tape. Safari ikaenda mpaka kwenye hyo site wakafika jamaa akashuka akazunguka nyuma Mara...
Hongereni Wana msimbazi na wapenzi wa kabumbu wote " nipo katika kibanda umiza hapa tunaomba wajuzi wa mambo mtupe usahii " Ikiwa Yanga Sc atabeba kombe la FA atatakiwa kucheza Shirikisho kama Bingwa mtetezi au atacheza moja kwa moja club Bingwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.