Mi napmba nijue, Ni lini mtaboresha mitambo yenu kwa wneo la kilolo milima ya udzungwa; ngangange, bomalangombe, masisiwe, udegenda na vijiji vingie ili tuwapate vizuri km mnavyojinadi kuwa niliondokewa ninyi ni bora!?
Tukiitangaza nchi kwa style hii, hapana!
Ila tunawasubiri waje machinjioni kwetu kwa mchina pale, wao wametuchezesha usiku kipindi cha baridi sana, sisi tutawachezesha mchana saa nane wakati wa joto sana waonje shubiri na wao! Km hawatamwita firauni aje awasaidie! alaaah![emoji31]
Sent using...
We Mungu, we we siyo sisi! Utabaki kuwa Mungu! Asante kwa kumrudisha MO salama! Tunakuomba hata wengine waliopotea na hawajulikani walipo, tenda muujiza warudi! Na nguvu yako Mungu, iwapige upofu wa macho ya akili na ya mwilini wasiendelee kufanya uhalifu huu! Ameen!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.