Recent content by Kiluilui

  1. Kiluilui

    Top 20 Countries With The Highest Weed Consumption

    siyo kweli in jamaica kush ni haramu.
  2. Kiluilui

    Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi

    Speachless acha upimbi bwege mkubwa wapi Umeona kwenye taratibu za TLS ama za CHADEMA waki claim kuwa matawi mawili mashiriki.?
  3. Kiluilui

    Sababu 7 kwanini maandamano Aprili 26 ni vigumu kufanikiwa

    It ain't idiotic it's a step forward towards success man.! I mean one step at a time hapo tu hiyo ni progress buddy.!
  4. Kiluilui

    Prof. Kabudi: Makonda kavunja sheria na faragha za watu kuwaita wanawake na watoto. Ilitakiwa kuwa siri sio alivyofanya

    Hapo ndipo anakuja kushtukia malipo ni mjukuu, saa hizo yeye hayumo.!
  5. Kiluilui

    Zitto, Lukuvi wavutana Bungeni: Zitto adai 25% ya bomba la gesi inaweza kuzalisha umeme wote wa Stiegler's Gorge

    Jomba una mashine ya kupimia I.Q chumbani kwako nini? umejuaje kwamba sio mkuu...?
  6. Kiluilui

    Prof. Kabudi: Makonda kavunja sheria na faragha za watu kuwaita wanawake na watoto. Ilitakiwa kuwa siri sio alivyofanya

    Hawa jamii hii huwa wana kasumba mnatoroka pamoja home but yeye huwa na tendense ya kurudi kabla yenu na kujikosha kwa unoko kibao, utasikia wapo mtoni wanaogelea nahuku naye alikuwemo
  7. Kiluilui

    Prof. Kabudi: Makonda kavunja sheria na faragha za watu kuwaita wanawake na watoto. Ilitakiwa kuwa siri sio alivyofanya

    Hahahaaaaa umenikosha ndugu, coz unajua mtoto mbeya kuliko wote nyumbani anayependa kusema siri za mama hatakamani mbululaa kiasi gani lazima baba ampende coz si ndio mbea wake...
  8. Kiluilui

    Rais Magufuli asema ana taarifa kuna kiasi cha dola bilioni moja zimekamatwa uwanja wa ndege Dsm!

    Wala msihofu wadau hizo ni zile pesa za ndugu yetu mzalendo wakweli aliyejipanga kufungua viwanda 30 mweshimiwa Dr.Shika.
  9. Kiluilui

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Unapatikana wapi mkuu nikusaidie, call me back. 0782-589388 scopi_on_nge. Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  10. Kiluilui

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Fala Lofa wewe hapa hatutafuti usawa mnama..! Uhalisia wa mambo wewe unapajua terrat kweli.? Alafu mtu kakataliwa kwao leo hii nyinyi ndio wema kuliko ndugu zake ama.? Au ndio mpango kabambe wakuleta uwozo kwenye jamii...! Kinyume na matakwa ya rais.!
  11. Kiluilui

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Sasa mkuu mbona hili swala ni la kawaida kabisa mkuu kwa hawa magamba, Skia hapo awali rejea historia ya aliyekua waziri wa elimu bwana J.Mungai,. Pale Mkwawa alifanya nini.? Hapo unapata picha kamili ya upumbavu na ujinga wa enzi za wahujumu uchumi kwa ukosefu wa umakini. Hapo nazungumzia...
  12. Kiluilui

    Kisiwani Pemba hali yazidi kuchafuka: Polisi na Majeshi yazidi kumiminika

    Haaa..! Aise hivi hata chembe ya aibu imepotea kabisa, haya ngoja tuone ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Ndugu zangu wazanzibari msivunjike mioyo...!
  13. Kiluilui

    Yaliyojiri Mwanza: Mkutano Mkuu wa Baraza kuu CHADEMA - (Uchaguzi wa Katibu Mkuu wa Chama)

    So what unatafuta tenda ya kukodishwa msibani ili uje kulia ama.?
  14. Kiluilui

    Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

    Na Nakuheshimu mkuu, hivi jee wewe umechoka.? Nadhani bado coz usinge ongea kitu kwenye uzi huu kama umechoka, natumaini bado unaelewa umuhimu wa mweshimiwa Edward katika taifa hili.!
Back
Top Bottom