Salaam Wanajukwaa,
Kumekuwa na kelele nyingi sana juu ya Tanzania 'Wonderkid' Walid/Clement Mzize hasa juu ya Thamani yake ambapo kwa mujibu wa Maelezo ya Klabu yake na mashabiki wa Young African SC ni kuwa Thamani ya Mzize ni zaidi ya US dollar Milioni Moja ($1,000,000).
Hapo hapo kutokana na...
Natumanini unafahamu utaratibu wa kununua Mbaazi?
Sasa Je, kwa utaratibu ambao unafahamika, ni wapi mwaka jana Mbaazi zilinunuliwa kwa Tzs 4000 kwa kilo Moja? (Ukitaja hata Wilaya tu, nitashukuru).
Na, je ni wapi sasa hivi Mbaazi inanunuliwa kwa Tzs 800 kwa kilo moja? (Na hapa ukitaja bei ya...
Wangapi wanaandika kuhusu NRNE? Na hawakamatwi
Martin wa CHADEMA anaandika karibu kila siku, ila lini alikamatwa kwa ajili ya kuandika hivyo?
kuna wale watoto sijui vijana akina Nguti na Msuya ambao wanaendaga Nairobi wanaandika kila siku ila hawajawahi kukamatwa.
Huyo Sirjeff kaandika NRNE...
Mkuu ulipewa akili za nini? umeshindwa kabisa kushirikisha fuvu lako?
Huyo Azam au Viongozi wake mbona jana hawakuwepo Ikulu kama anadhamini Timu zote za Ligi Kuu?
Salaam Wakuu,
Jana katika picha za Rais Samia na viongozi wa Yanga na Simba, Gharib alikuwepo kwa upande wa viongozi wa Yanga, sasa je, siku ikitokea Pamba, Singida, Mashujaa, Namungo na wenyewe wakiitwa huko Ikulu, GSM ataenda kama kiongozi wa hizo Timu?
Kama hatoenda, inakuwaje watu...
Salaam Wakuu,
Kama mtakumbuka, mwezi Februari mwaka huu, TRA walitangaza nafasi za Kazi kwa Watanzania wenye SIFA. Na takribani Watanzania laki moja na kitu, waliomba zile nafasi, na baada kufanyiwa Usaili uliofanyika tarehe 29 & 30 Mwezi Machi. Baada ya Usaili, Matokeo yalitoka Mwezi April na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.