Recent content by kilimanjaro mlima

  1. K

    Hivi Sare za shule na viatu, hairuhusiwi kuchangishwaa??

    Duuuh jamani hata sare za shule nazo tuombe serikali
  2. K

    CHADEMA kumshitaki Makonda kwa uvunjifu wa sheria

    Kwani nyinyi Chadema mbona wapuuzi kiasi hiki acheni Mahakama itatoa haki
  3. K

    Kama unataka ndoa kwa mwanaume yeyote fanya haya

    Utakuwa ni ww 2 jiulize kwnn mademu wana ng'ang'ania mageto ya madume kinyume chake
  4. K

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Mpuuzi ulitaka una maana wewe kajipange
  5. K

    Zitto Kabwe: Magufuli ameanza na hatua nzuri lakini adhibitiwe

    Zitto inaonekana umeamua hivi uwezi kujitoa kwa ajili ya wanyonge, jipime kama kasi inakuzidi kaa pembeni mmetunyonya sana jifunze mema
  6. K

    Hivi na nyie wapenzi wenu wako kama huyu wangu?

    Usisubutu kumpa mimba ila mwachene ilosichaguo lako tulia mungu atakupa ndoa yenye baraka
  7. K

    Swali kwa Jaji Lubuva na NEC kuhusu baada ya kupiga kura

    Vyombo vya habari ili watu habarishe wananchi
  8. K

    Barabara zapigwa deki Musoma

    Mnachekesha sana hapo nazidi kuhamini usanii
  9. K

    Hatimaye Flora Mbasha ampigia Magoti Mumewe, amuomba amsamehe, ajutia Makosa

    Kwa kweli mbasha toa msamaa ili muishi kama binadamu lakini si ndoa usifanye kosa kurudi, msamehe kwa alicho kufanya na abaki na maisha yake plz take care
  10. K

    Lowassa Kijiji Kwa Kijiji,Magufuli Mjini kwa Mjini

    Mdau kumbe uwajui viongozi unao wataja bora ukakaa kimya jifunze na mambo acha uchochezi lakini ndiyo dalili za kushindwa unahoja maneno mengine.
  11. K

    Changia UKAWA/Lowassa kwa Tigo Pesa, M Pesa na Airtel Money kwa njia hii

    Deuce!! Mbona ukawa wakiwa mchakato wenyewe kwanza una siku 14 mmmmh mshaurini jamaa ajitoe asije umbuka
Back
Top Bottom