Recent content by Kiligo

  1. K

    CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

    Siasa za lowasa na Mbatia ni za kistaarabu. Jana tumeona Mbatia akikataa lile sanamu la Funguo nimependa sana kuwa na siasa za hoja kuliko matusi na kudhalilishana. Tutaona Lowasa atakapo anza kampeni kwa kutoa hoja badala ya kutukana watu. Siasa kama hizi zilikuwa za akina Slaa ambazo zimebaki...
  2. K

    Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

    Jamaa ali bip kama wengine walivyofanya. Sasa simu ikapokelewa hajui cha kuongea. Kugombea urais sio mchezo.
  3. K

    Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

    Sio rushwa hiyo?? Kwanini itokee kipindi hiki?
  4. K

    Kama unamkubali mgombea wa CCM Dr. John Pombe Magufuli gonga like twende sawa

    Anaendesha kampeni kimyakimya na atashinda kimyakimya
  5. K

    Tangazo la Visit Tanzania kwenye mechi za English Premier League

    Hata mimi nililiona na kuna mtu nikamwambia hawa jamaa wanachezea Dar nini. Lakini limekaa vizuri ngoja ninvisit hiyo web
  6. K

    (Wabunge Mizigo) Ni aibu kwa Mbunge ambaye hajachangia hoja hii ya Escrow mpaka sasa

    Hii mada jamani haikua nyepesi kuchangia na hata anaeongoza alikua makini sana wakati mwingine anauliza walioafiki waseme ndio!!! Wanaafiki lakini anarudi nyuma tena. Hii ni kutokana na issue kukaa kiprofessional zaidi. Waliosoma sheria, uchumi walikua na nafasi zaidi ya kuchangia. Mimi...
  7. K

    Hivi hawawezi kujiuzulu, wanasubiri kuwajibishwa?

    Sasa unaingia Mara
  8. K

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    hata pale PAC waliposema kuna wanasiasa walisema pesa za ESCRO sio za UMMA mfano waziri wa Nishati na Madini, Waziri kuu, lakini hawajamtaja KANGI LUO... au ni kusahau au ni kufumbia macho marafiki. nae KANGI LUOGA awajibishwe kama alisema uongo endapo PM atawajibishwa.
  9. K

    Mhongo amelidanganya Bunge, Viambatanisho haviendani na hotuba yake!

    hata hivyo kuna TOFAUTI kati ya ripoti hizi mbili. kwa upande wa RICH. bunge ndio walifanya uchunguzi na kuwasilisha taarifa Bungeni na kuweka maazimio. kwa sasa Serikali ndio ilifanya uchunguzi kupitia vyombo vyake (CAG na TAKUKURU) baada ya bunge kuandaa hadiru za rejea. kwa mapungufu...
  10. K

    Ujasusi wa Balozi wa Uingereza: Tanzania, Can We Stand Au Maselle Kugeuzwa Mbuzi wa Kafara?

    Aliyetoa hoja ni Mhongo ambaye ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri. hivyo basi Mhongo ndi alitakiwa kukanusha kauli ya Maselle. kauli ya Maselle haikuwa kauli ya Serikali kulingana na Katiba iliyopo sasa. hata kwa hali ya Kawaida naibu waziri akijibu swali la seriali asiposema kwaniaba ya Waziri...
  11. K

    Tanzania Haina Rais Tena: Muhongo Na Masele Wajitafakari !

    maisha ya kambale kila unaemuona ana ndevu hujui ni nani mkubwa
  12. K

    Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

    Timu zikiwa zimelingana pointi na goal difference inangaliwa ninani alifunga mabao mengi akiwa ugenini otherwise ni mikwaju. hii inatumika hata ligi kuu ya Tanganyika. kama simba na Yanga wote wana goal difference sawa na wanalingana points inaangaliwa nani alinyukwa zaidi akiwa kwao basi ndio...
  13. K

    PICHA; M4C- OPD, kutoka Polisi Iringa hadi kuitikisa Pwani na kujionea 'maajabu' ya elimu Chalinze

    Lakini anamiliki motorcycle aliyo pack nyuma yanyumba. inawezekena ana asili ya uchafu na sio kwamba hana kipato cha kutosha au kuwezeshwa na serikali. waalimu wakuu wangapi wamejijengea makazi yao wenyewe? hata nyumba ya matofari ya udongo ameshindwa he is a dirt teacher
  14. K

    CHADEMA Yatikisa Morogoro

    Watu wa Tungi wanateseka sana hawajawahi kuona matunda ya Uhuru. Umeme mradi umekwisha lakini Tanesco wameshindwa kuwaunganishia wananchi meta hadi rushwa itendeke. maji ni bidhaa adimu. ni vema wakaamua kufanya maamuzi ya kupata mchapa kazi au kuendelea na shida zao.
  15. K

    Kesho, Jumatatu ni siku ya mapumziko Tanzania Bara na Zanzibar

    Du pale kibaruani ndio tuakulaga mchana kama ofa sasa sijui itakuaje home hakueleweki siku zote hizo du
Back
Top Bottom