Kijiji cha Ndaga kata ya Ndanto wilayani Rungwe kipo chini ya ulinzi tangu Jumatatu.
Polisi wa Mbeya na wa Tukuyu wametia kambi hapo baada ya wananchi wa Kijiji hicho kuwakataa wenyeviti wa vijiji na vitongoji walioteuliwa na kuwavamia usiku na kuwapiga wenyeviti wa CCM na katibu.
Nikiwa viunga vya mahakama ya wilaya Rungwe nikisubiria kusikilizwa kwa kesi yangu baina ya Naibu spika TULIA ACKISON MWANSASU ndipo nilipoitwa na baadhi ya askari polisi na kuanza kunishawishi kuhamia chama cha mapinduzi na baadaye wakaongea kebehi kibao juu ya CHADEMA na upinzani kwa ujumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.