Hayo ni matokeo ya mjini, vijijini ni wengi bado hawajatangaza. ZANU PF inaweza kushinda kwasababu watu wa vijijini hawajui upinzani ni nini. ,70% ya wazimbabwe wanaishi vijijiniMuda wote wa kampeni wazimbabwe wengi wamekuwa wakilia "We need change" na hayo mabadiliko yako upinzani tu.
Next week, huenda Zanu pf ikajiunga ligi ile ya akina KANU, Unip, UPC nk na ccm naye ikibaki ikipigania roho huku wakiwa busy wakinunua wabunge na madiwani njaa make hawana namna.