Hezbollah 'attack site' near Shebaa Farms identified
18 minutes ago
Israel says it has received a message from Lebanese militant group Hezbollah saying it does not want a further escalation after border clashes on Wednesday that killed three people.
Defence Minister Moshe Yaalon said the message...
Ndio matunda ya viongoz wakuu wa vyuo kuteuliwa Na wanasiasa wanawatekeleza matakwa ya mabwana zao, wakati wa kuwang'oa umetimia hawawezi kukwepa hiki kikombe. Makamanda mpambane tuko pamoja, pole I sana kwa waliopatwa Na misiba Na masaibu yote.
Huo ndio uwezo wake hawezi ongea Na Wanahabari maana watampiga maswali magumu au la Rweyemamu atawaalika wale uhuru tu Na kuwapangia cha kuuliza , hawezi pia kuongea na Intellectuals pale Mlimani au pengine maana anajua wataona chenga zake na hawatompgia makofi huko anajua kuwa lobby tu wampe...
Sasa unaanza kuja vizuri, kwa sisi wa nyuma kidogo icho kipengele cha 6% hakikuwepo labda sasa waseme wazi kua kinafanya kazi kwa wanufaika wote na sio kupachika tu kwenye deni bila mawasiliano rasmi.
Mheshimiwa Nyakageni hakuna aliekataa kulipa hoja ya msingi wana kokotoa vipi hizo outstanding loans ?
Mbona panakua Na tofauti kubwa sana unapoangalia deni lako kwa tofauti ya mwaka Na madeni yanatofautianeje kwa watu waliosoma course moja Na wana scale sawa ya mshahara?
Msaada kwenye hili tuta...
Kwa Barua sina na zile document nilishazipoteza ila zilikua kwa office zao kanda , sasa pa kushangaza mkuu@Meandu hata tuliosoma course na mwajiri mmoja Na mshahara sawa bado kuna tofauti Na Mimi ndio udadisi wangu unapoanzia, icho kikokoteo chao kimoja Na kinaangalia vitu gani??
Habarini wana jamvi!! Mimi kwa mda sasa nashindwa kuwaelewa Bodi ya mikopo ya Elimu (HESLB) kwa upande wa Loans repayment kwa wanufaika wote. Moja hii mikopo ina riba au haina, pili inakuaje mtu unapoangalia deni lako (outstanding loan) linakua linatofautiana Mara kwa mara mfano Mimi mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.