Recent content by Kileghe

  1. Kileghe

    Kosa la kuingilia msafara au kupita sehemu iliyozuiwa kupisha uwepo wa mtu mkubwa serikalini

    umetapeliwa,,,,hakuna kitu kama hicho,,,kitendo cha kupokea simu kwa loud speaker ulitakiwa ustuke
  2. Kileghe

    Rais Samia asante Kwa Uteuzi. Ila Suzan Kaganda kumpa Ubalozi umeteleza, anatakiwa awe IGP

    KWANI IGP SAID MWEMA ALITOKEA WAPI KABLA YA KUWA IGP....TUSUBIRIE MANA BADO NI CP
  3. Kileghe

    Msaada wa utofauti wa lactogen

    Lactogen iliyoandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza hiyo ndio umeruhusiwa kuuzwa Tz kupitia mamlaka za Tz. Kitu chochote chenye us ajili ndio tuna uhakika na ubora wake na hata kikikudhuru unajua pa kuanzia. Kuhusu viambata hivyo usivifuatishe mana kama mm na toa kitu fake Nita andika...
  4. Kileghe

    Maonesho makubwa ya mifugo na mnada kufanyika kuanzia 14-16 juni 2024

    kwema ndugu....ratiba maonesho n kuanza saa ngapi na kumaliza saa ngapi...nategemea jmos au kesho JPL nitembelee
  5. Kileghe

    Mbwa wakali wa ulinzi (mali dutchie puppies)

    unategemea kuzalisha lini tena
  6. Kileghe

    Mbwa wakali wa ulinzi (mali dutchie puppies)

    kwema ....hivi hawa mbwa bado wapo?
  7. Kileghe

    Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

    Hapa kumsaidia nenda naye shule wakujibu Kwa maandishi Kwa nn wasimpokee huyo mtoto. Ukifanya masihara kesi inakubadilikia kukaa na binti ambaye anatakiwa akaripoti shule. Mtego mwingine ni muda wa kuripoti ukiisha nafasi atapewa huyo na uzembe utaonekana n wa mtoto na wazaz
  8. Kileghe

    Wanamuziki 'wakubwa' kutokuwa na Nyumba hii imekaaje?

    Ndio ...mana kama unafanyiwa mahesabu na mhasipu Kodi unayotakiwa kisheria ulipe ni 30% ya faida Yako baada ya kutoa matumizi yote... Kwa hiyo wanachofanya wanaongeza matumizi Kwa kusema nyumba wanazoishi ni za kampuni mfano John D asset holding co.ltd. Kwa hiyo Kodi ya pango(withholding tax)...
  9. Kileghe

    Wanamuziki 'wakubwa' kutokuwa na Nyumba hii imekaaje?

    Kupanga inamfanya alipe TRA kidogo kutokana na mapato yake....Nyumba inaweza ikawa yake LAKINI anakodi kutoka kwenye kampuni yake ya nyumba....kawaida kodi unalipa 30% ya faida...na kodi ya pango TRA wanapokea 10%....kwa hiyo kama faida yako kabla ya pango ni 10,000,000 ina mana TRA unatakiwa...
  10. Kileghe

    Serikali yapiga marufuku kununua mazao shambani, yaagiza maghala yote kusajiliwa

    Uko sawa mkuu, Tanzania hatuna taarifa sahihi za mazao mana mkulima hatunzi kumbukumbu LAKINI pia kodi hailipwi kisahihi. Tatu mkulima hajui bei shindani mana bishara hizi zinafanyika kwa siri, n rahisi mfanyabiashara kutumia lugha kuwa jana tumenunua kg moja kwa tsh 500 tu kijiji cha pili hapo
  11. Kileghe

    Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

    Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
  12. Kileghe

    John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

    Kashakuambia PICHA ina mana hii ni sinema ya kutunga kichwani mwake
  13. Kileghe

    Ushauri: Kilimo gani nifanye kwa mtaji wa Shilingi milioni 20?

    atupatie mchanganuo wa hiyo biashara yake
  14. Kileghe

    Mtu mwenye cheti cha Medical labaratory science anaweza kufungua Health laboratory center

    Ili ufungue maambara unatakiwa uwe na 1. Angalau diploma ya maabara. Au 2. Kama huna diploma uajiri mwenye diploma ya maabara Au 3. Kama utashindwa kuajiri utumie cheti cha mwenye diploma kama msimamizi na mmiliki wa maabara hiyo. 4. Pia unatakiwa uajiri ambaye atafanya kazi kila siku, huyu...
  15. Kileghe

    Mfamasia wa kike nipo Mwanza, natafuta kazi

    Kajieleza ana diploma,,,,yeye ni fundi dawa sanifu aka pharmtech
Back
Top Bottom