Recent content by Kilaza Wa Bongo

  1. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Dunia imetoka huko zamani na vigezo vimeshabadilika,kama kufua mashine zipo zina fua vizuri kweli
  2. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Wanawake ni viumbe vya hovyo kuwahi kutokea hapa duniani.
  3. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Bado unapanda gari la shemeji 😂
  4. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 zenye amani Afrika, Tanzania haimo. Salaam kwa Samia na Mwigulu

    Hii sio kweli tanzania tunaongoza kwa amani
  5. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanaume kumiliki wanawake zaidi ya mmoja haileti uhaba wa wanawake kwa wanaume wengine?

    Hili swala serikali waliangalie linaleta shida kabisa
  6. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Naunga mkono hoja
  7. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka nini ukisikia jina la Adam Simbeye kwenye THIS WEEK IN PERSPECTIVE

    Hapo ina tembea lugha mwanzo mwisho ila tisa kumi kingereza cha maprofesa 😀🙌
  8. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Kwanza tupe elimu yako kijana, pili una mchango gani kwenye hili taifa zaidi ya kubet..🚮😂
  9. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Ngoja leo nikalipie watafunga accnt yangu😂
  10. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa pombe na Sigara fake umeingiza madawa ya kulevya, ambayo watumiaji tunaona dalili za mateja

    Mchina analeta bidhaa sidhani kama zimepitishwa na ubora.
  11. Kilaza Wa Bongo

    JamiiForums Tanzania Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Ukitaka kuishi bongo jifanye kipofu huoni kitu..
Back
Top Bottom