Kwenye mtoto kama ana katoto ka kiume basi hapo inabidi utembee n gia za kina Ben ten, spider man, batman ,yani ukapambe katoto kajione yeye ndio kakamanda yani.
Tena uwe unakapa misheni ndogo ndogo ndani ya nyumba yani kakifanikisha kanajiona kakomandoo basi lazima awe anakutaja taja yani .
Kuna mahali nimsema kuwa kuiga ni kosa ?
Ukiiga ubunifu wako nao unatakiwa sio unaiga kitu ambacho kwenye mazingira yako kinakuwa hakina tija sana .
Katiba sio ajenda kubwa kwa wananchi wao wanapoteza muda na kuushusha ushawishi wao .
Utake iko hivyo usitake itakuwa hivyo.
Chama chochote kinapokuja na Ajenda lazima iwe na faida kwao kuliko hasara hasa kwa kupata ushawishi toka katika jamii.
Hoja ya katiba Chadema wamefelu pakubwa sio hitaji mguso la wananchi wengi kwa sasa ndio maana wananchi wanawapuuza wanajihutubia wao kama wao tu .
Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .
Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .
Watafute ajenda zenye tija
Mdude hadi sasa ameshapunguza wanachadema zaidi ya elfu moja kwa maneno yake aliyoyatoa na anayoendelea kuyatoa na wasipokuwa makini watapoteza wengi sana .
Maana Jk ndio Master mind kwa sasa hivyo kimya kimya
Japo kitaalamu inabidi wewe ndio uwe wa kwanza kufika eneo la tukio mapema kabla yake ili ufanye situational awareness kuwa wapi na wapi pa kuweka viti vyako mapema sana .
Ila kama unahisi unacheza gemu na gaidi sana basi unakuwa na pochi mbili tu
Moja bosheni isiyo kuwa na madhara sana na...
Nasisitiza kuwa tumepigwa awe anajishaua wala hajishaui ila tumepigwa atumie jina la baba yake ila sio la babu yake .
Tulinde legacy ya Nyerere kwa nguvu zote .😁😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.