Recent content by Kilawo

  1. Kilawo

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inachelewesha sana kutoa mikopo ya 10% kwa vijana

    Wamelipa siku ya tarehe mbili Ahsanteni Sana Jf
  2. Kilawo

    JamiiForums Tanzania KERO Wakuguzi wa Mikopo ya Vijana wana changamoto

    Sana kama kuna uku kwetu kuna mama anakiwnda cha kutengeneza batiki aliomba milion 25 lakini siku ya mwisho anapatiwa milion mbili!
  3. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Kwisha habari yako Yerrico
  4. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Tunachimba mtoni sasa maji yamekauka Hadi mwezi WA kumi na moja
  5. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Mapesa nimefanya Tangu 2020 Hadi 2025 ila sijaona faida kabisa ukipata kamisheni inakuwa tayari imetumika
  6. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Tumeuza dhahabu Tulikuwa tunachimba wenyewe Kwa sasa hakuna maji Hadi mvua zianze kuna Kuwa na maji,
  7. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Nipo nyasa Kwa sasa nl!
  8. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Habarini wakuu Katika Harakati za hapa na pale nimepata milion 3 nifanye biashara gani?ili niweze kupata Kwa siku faida ata 30k.
  9. Kilawo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majibu mazito ya CHADEMA kwa Msajili, yagomea tishio la kufutwa au kutozwa faini

    Safi Sana!Tunasubiri mipasho Tu hapo
Back
Top Bottom