Mhhhhh hao sio wazee wa chedema kama mtoa mada alivyojaribu kutuaminisha.....hiyo picha ni ya siku nyingi mno.....wawili kati yao ni madiwani wa karatu kwa kata ya karatu mjini(bwn Jublet Mnyenye) mwenye ndevu nyingi mwingine ni bwn Lazaro Titus diwani kata ya ganako na mwenyekiti wa...
Ni bora ukasubiri kura kwanza......wasiwasi wako usije ukawa ni uchochezi hasa kwa kauli eti wanachadema hawatakuwa tayari kumpigia kura mtu mwingine tofauti na mwl Kashindye.....hii inamaanisha sio wasiwasi wako.......ni swala ambalo mmeshakaa vikao vyenu mkaamua hamtakua tayari kumpigia mtu...
Amekijenga chama .....sawa tunakubali kama usemavyo......ila kama ameshiriki kura za maoni na akishindwa,kama mwanademokrasia hana budi kukubaliana na matokeo..........jaribu kujiuliza kama wote waliopigania vyama ndo wapewe nafasi za kiuongozi kisa tu walikijenga kungekuwa na migogoro mingi...
Ukifika Mahenge
Umefika kwiro ni buku tu kwa bodaboda.....taxi ipo ila ni moja.....kama hutojali mguu pia unafika.....ni ka mji kadogo sana.....haipo ndani ndani......
Dar to mahenge ni 25000 kwa basi la kidinilo.....moro to mahenge ni 20000 ukitoka asubuhi moro na basi la babu ally utafika saa tisa kama halijaharibika coz barabara ni mbovu mno from kidatu ni vumbi tupu hakuna lami.....ukisubiri kidilo inayotoka dar utafika kumi na moja jioni.......ajipange...
Kwani sisiem wapo bungeni? Mbona waiongelea chadema tu ilhali jana bajeti imepitishwa na wabunge 68 tu kati ya mia tatu na zaidi......ushabiki usio na mipaka huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.