Usijihesabie kufahamu kuliko wengine ndugu na kuona wengine hawajui kuomba, kusifu na kuabudu, kumbuka akili ya Mungu haichunguziki!! Mwache mtu aombe Kwa kadri anavyoongozwa na Roho Mtakatifu maana pekee ndie anaweza kutusaidia kuomba! Kwa akili zetu hatuwezi tutaishia kujiona sisi ni bora...