Kwani bado yupo cdm huyo mzito wa kabwela? kaanzisha chama gani tusubiri hiyo kampeni yake.,tatizo kafubaishwa na shutuma za kuhusishwa na ccm,,wanaccm ruksa kuhudhuria mikutano yake.
mabadiliko kokote yalikotokea hayakuletwa na wanawake kamwe,,they're just house keepers let guys fight changes,,ccm tumewachoka jamani mumedidimiza uchumi,,hospitali madawa hakuna ,shule hazina madawati, umeme bei juu,,hali ya uchumi ni mbaya kwa kila mwananchi..yote ni matokeo ya chama...
Karne hii huwezi igiza vitu vya kipuuzi namna hii au hawa jamaa wanadhani wanatawala karne ya 19 eti shule hazina madawati, hospital madawa hakuna umeme juu umaskini umekithiri hakuna asiyejua yote haya yamesababishwa na serikali ya ccm shame on them
wananchi maskini, umeme juu, shule hazina madawati, hospitali madawa hakuna, viongozi wameukana uzalendo wanaenda kutibiwa nje walalahoi tufie kwenye hizi hospital sugu zisizo na madawa..mnaendekeza siasa tu badala ya kujadili uchumi uwe vipi shame o
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.