Ukiangalia matamshi na vitendo vya maza utaona matumizi Makubwa ya hisia kuliko akili... Alafu majuto yake baadae
#anaingiaga chaka kizembe alaf anafosi kuchomoka kifala.
Mwanaume unamdangia unategemea akuonee huruma..?...
Na Ata izo video zinavochukuliwa sio kwamba awa viumbe hawaoni wanaona sn tu... Tatizo unaanzaje kusema NO kw sponsor..!
Nimesoma thread, nikichogundua
Wanawake kwny swala la kummaliza mwanaume wanasapotiana kichizi adi mbinu wanapeana..
Njoo kwetu wanaume Kila mmoja na lake.. Kw staili ii watatuburuza kwelkwel.
-Ela ya nauli unatumiwa na hautokei, wewe ni mal@ya au kibaka-
Kutoipigia hesabu pesa ya mwanamke ni Sawa... Lkn haimaanishi yeye kushindwa kukusaidia pale unapokwama km ana uwezo uo kw sbb hatofanya kw faida yako tu bali nj kw faida yenu pamoja na watoto na iyo ndio maana halisi ya kuwa mume na mke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.