Kwa mwendo huu ikosiku tutaletewa uzi hapa unaolaumu wizara kua inapendelea makabila fulani lkn Kwa mfumo wa elimu tulionao sijajua kipengele gani kinachopendelea dini yoyote .Minadhani Kama watoto wetu hawafanyi vizuri Katika masomo tujiangalie tatizo liko wapi ??maana Kwa mtazamo huu tunajenga...
Unajua ukikosa kwa kukopa ndiyo akili inafanya kazi sawasawa maana utalazimika kutumia akili ya vyanzo ulivyonavyo iweze kukidhi mahitaji ya nchi,kama nchi bado vyanzo vingi vya mapato hatuja fanya vizuri sana labda tuone kwenye awamu hii ya 5 kama tutaweza kukusanya vyakutosha tutapunguza deni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.