Recent content by kilabuni

  1. kilabuni

    Uamuzi wa kujengwa ukuta kuzunguka Mererani kulinda madini ya Tanzanite ulifikiwa mwaka 2002, lakini ukawekwa kapuni

    Nikweli Kabisa hili linawezekana maana hata wanaojengewa ukuta nao wanaakili pia
  2. kilabuni

    Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

    Dyuu dyuuu ni balaaa wataligombe sana na kwenye valangati hili mmmoja anaweza kubeba mimba Siku si nyingi hapa.. Ngoja tuone hili movie
  3. kilabuni

    MOROGORO: Polisi aua watu wawili akijihami

    Hii inapatikana Morogoro pekee
  4. kilabuni

    Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu

    Angenyamaza ingempa heshima sana kuliko kwenda kwenye media anatafuta nini huko Kama sikujishushia heshima yake tu
  5. kilabuni

    Tukumbushane: Historia ya Wahehe wa Iringa

    Dalihe mnyalukolo
  6. kilabuni

    Godbless Lema sasa aitwa Trump

    Duh labda watupe ufafanuzi maana wengine hatujaelewa hapo
  7. kilabuni

    Kuhusu mke wa Rais: Taasisi ya urais imepotoka

    Pale Sewahaji kuna VIP wards kwahiyo siyokweli kuwa alilazwa changanyikeni
  8. kilabuni

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Kwa mwendo huu ikosiku tutaletewa uzi hapa unaolaumu wizara kua inapendelea makabila fulani lkn Kwa mfumo wa elimu tulionao sijajua kipengele gani kinachopendelea dini yoyote .Minadhani Kama watoto wetu hawafanyi vizuri Katika masomo tujiangalie tatizo liko wapi ??maana Kwa mtazamo huu tunajenga...
  9. kilabuni

    Deni la taifa kuongezeka kwa trilion 23 ndani ya muda mfupi wa utawala wa awamu ya 5!

    Unajua ukikosa kwa kukopa ndiyo akili inafanya kazi sawasawa maana utalazimika kutumia akili ya vyanzo ulivyonavyo iweze kukidhi mahitaji ya nchi,kama nchi bado vyanzo vingi vya mapato hatuja fanya vizuri sana labda tuone kwenye awamu hii ya 5 kama tutaweza kukusanya vyakutosha tutapunguza deni...
Back
Top Bottom