Recent content by kila jr

  1. K

    Watangazaji wengi wa radio hawajui kingereza

    Kuna mtangazaji fulan wa chanel 10 alikuwa anasoma magazet ilipofika zamu ya magazeti ya kingereza yan alichemka mpaka nikawa naona mimi aibu yan kale kafupi kalipataga ajali cku zilizopita
  2. K

    Msaada: Ushauri kuhusu gereji za wachina

    Double star shekilango muone manyinyu ndo mchina mstaarabu na huwa bei zake ni nzuri wengine pasua kchwa
  3. K

    Kwanini ndoa za Wahindi,Waarabu na Wapemba zinadumu sana tofauti na Wabongo?

    Chanzo kikubwa cha ndoa zetu kuto dumu ni wamama wakwe zetu fanya tafiti kwa ndoa ambazo wamama wakwe wametangulia mbele za haki utakuta zko poa na wake wanakua na adabu na waume zao mdau.
  4. K

    Naumwa hata sijui nini, Nipeni ushauri mbadala

    Mdau na mimi yalinikuta hayo tangia mwezi wa 4 mwanzoni afadhali ndio napata sasa na nilishaomba ushauri hapa hyo hali nafikiri inataka kuanza kuenea kwa watu mbalimbali coz na mimi nilimaliza vipimo karibia vyote katika hospitari karibia zote kubwa za hapa dar ikashindikana ila kwa sasa...
  5. K

    Tambua mbinu wanazozitumia waganga wa kienyeji kutapeli watu

    Sawa mdau ila naamin hayajakukuta ww ndio maana ukaandika uzi huu ila siku moja utakuja kujua umuhimu wao pia sio waganga wote matapeli kuna wengine wana karama zao kama unavyowaona wachungaji kikubwa ni iman tu angalia vizuri zile pete wanazovaaga viongozi wetu wakuu na baadhi ya watu, rejea...
  6. K

    Chumba cha kupanga mwananyamala,tabata,kurasini

    Mdau kurasini kunavunjwa ucje ukatapeliwa na hata hvyo offer yako ndogo labda usogee kijichi
  7. K

    Naomba kufahamu kuhusu Vyura wa Kihansi

    Mdau kama uko dar nakushauri nenda pale waterfront kuna jamaa mlinzi kampuni ya eagle kama sikosei analinda huu upande wa parking za bm wa crdb mweusi hv jicho lake moja bovu yeye ndo anawafahamu hao vyura vilivo coz ndo alikuwa anawatunza pale sua mkataba wake uliivyoisha ndo kaajiriwa na hyo...
  8. K

    Msaada Samsung galaxy S4

    Tatizo cyo cm mdau tatizo ni network yan mitandao yote imekua magumashi siku hz vumilia tu ucje ukatapeliwa kwa ukazani simu ni mbovu manake na mimi natumia s4 na hyo 3g haisomi
  9. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Hapana mdau cyo fix ngoja ni post kielelezo muamin jaman nateseka
  10. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Hapana mdau mimi niko serious na hyo hali nilio nayo kila ninaemweleza anashindwa kunielewa coz siumwi sehem yeyote ya mwili ni uchovu tu usioisha na mara nyingine kuishiwa nguvu sababu ya kutapika na ku loose apetite
  11. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Asante sana mdau kwa ushauri wako manake nakuwa sijielewi kabisa yani kwa hyo mpaka ajifungue ndio nitakuwa poa? Manake anatarajia mwezi wa 9
  12. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Asante mdau ila nilikua naomba kufahamu huo uhusiano unakuwaje
  13. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Yan mdau hatuwezi kukaa sehem moja muda mrefu either tutazinguana au atanibore tu yan cjui hii hali itaisha lini jaman starehe zote kwisha yan ni unyonge usioisha aisee
  14. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Aisee sasa si balaa hlo jaman
  15. K

    Ujauzito wa mke wangu unanitesa

    Sasa kuna uhusiano gan jaman au nikamtoe maanake nashindwa kufanya hata kazi kwa raha jamani alafu yeye yuko poa tu hata haimsumbui aisee
Back
Top Bottom