Nilicho gundua ni kuwa jiwe ana roho ya mauti.
Vyote alivyovikuta na alivyovianzisha vitakufa kabla ya yeye kuondoka pale ukuta mweupe.
Ni mda pekee wa kusubiri
Kabaridi kamekupata itisha kwa jaketi,jifanye umesahau kama ni group la familia na ujifanye kama umetuma kwenye group la washikaji then waulize kuwa "masela ehee" mmepata hiyo kitu?
Mwaka Jana kwenye Bunge la Bajeti uliletwa upuuzi wa madawa ya kulevya,mwisho wa mchezo ikawa sufuri.
Mwaka huu kwenye bunge kama hilo umeletwa mchezo wa wanawake waliotelekezewa watoto na mleta upupu ni yule yule.
Kutokana na Nchi inavoendeshwa kama mteule wake anaona huyu pimbi...
Ivi huyu mkulu wa kwetu ni raia wa Tanzania kweli,Mimi nadhani uhamiaji wangeanza na huyu bwana
Atuletee au atuonyeshe makaburi ya babu Yake na babu yake upande wa baba na mama pia.Hakika nawaambieni mtakuta ni mhutu au mtusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.