Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa kusema ukweli au?Huyu kachoka ubalozi?
Achana nae zito!Ni wapi amekuri kuwa "mmepigwa".
Sasa unapigwa vipi kwa pesa ambayo hujui ilipo?
Huu mjadala wa 1.5T ni "tango pori" ndio maana wenye uelewa mpana wameachana nao.
Zitto alitaka kuteka kazi za PAC kwa faida ya muda mfupi. Ndio maana alisoma repoti ya CAG kwa haraka na kutoa tamko kabla ya PAC ambao ndio wahusika wakuu bungeni.
Yeye wakati akiwa Mwenyekiti wa PAC alikuwa hatoi nafasi wapinzani kuteka kazi za PAC.
Ninakumbuka kuna kipindi Godbless Lema alimwambia Zitto aache ubinafsi.
Sijui kwa nini nahisi Tanzania haitaishiwa mazuzu.
Na wameshaambiwa watoe ripoti kila baada ya miezi 3Huyu kachoka ubalozi?
Kama kweli amesema tumepigwa, basi hatadumu ila naona nae anajaribu kufikisha ujumbe kwa anang'ata na kupuliza.
Sijui kwa nini nahisi Tanzania haitaishiwa mazuzu.
mkishakula miugali yenu ya bure behind closed doors Ikulu na Lumumba nakuvimbiana mitumbo yenu at taxpayers expense mnakuwa wajinga na miphd na mimaster yenu yakukariri. Mmeshindwa kudeliver mmebaki kuvunja rekodi ya kuiba matrilioni. PRAY WE DONT GET INTO POWER!Ni wapi amekuri kuwa "mmepigwa". Soma kwanza mahojiano yake yote kabla ya kutoa angalizo kupitia kichwa cha habari.
Sasa unapigwa vipi kwa pesa ambayo hujui ilipo?
Huu mjadala wa 1.5T ni "tango pori" ndio maana wenye uelewa mpana wameachana nao.
Zitto alitaka kuteka kazi za PAC kwa faida ya muda mfupi. Ndio maana alisoma repoti ya CAG kwa haraka na kutoa tamko kabla ya PAC ambao ndio wahusika wakuu bungeni.
Yeye wakati akiwa Mwenyekiti wa PAC alikuwa hatoi nafasi wapinzani kuteka kazi za PAC.
Ninakumbuka kuna kipindi Godbless Lema alimwambia Zitto aache ubinafsi.
Tatizo siyo Zitto bali ripoti ya CAG inaning'inia hewani........imetoa fursa kwa wanasiasa " kusema" wapendavyo!Ni wapi amekuri kuwa "mmepigwa". Soma kwanza mahojiano yake yote kabla ya kutoa angalizo kupitia kichwa cha habari.
Sasa unapigwa vipi kwa pesa ambayo hujui ilipo?
Huu mjadala wa 1.5T ni "tango pori" ndio maana wenye uelewa mpana wameachana nao.
Zitto alitaka kuteka kazi za PAC kwa faida ya muda mfupi. Ndio maana alisoma repoti ya CAG kwa haraka na kutoa tamko kabla ya PAC ambao ndio wahusika wakuu bungeni.
Yeye wakati akiwa Mwenyekiti wa PAC alikuwa hatoi nafasi wapinzani kuteka kazi za PAC.
Ninakumbuka kuna kipindi Godbless Lema alimwambia Zitto aache ubinafsi.
Kama huyo jamaa uliyemnukuu,ndio wale wanaofanya Tz iwe jinsi ilivyo. Tz itapiga hatua pale jamii hii itakapotoweka.Sijui kwa nini nahisi Tanzania haitaishiwa mazuzu.
Weka content basi wadau waweze kuchangia kwa alicho kisema Slaa vinginevyo wengine wata changia kwa hisia tu hapa